Kazi kweli kweli...Si kwa approach hiyo!
Hivi maafisa elimu ndio wanafundisha?
Hivi maafisa elimu ndio wanaoongoza vitengo vya udhibiti wa ubora wa shule?
Hivi Makonda anaona sababu ya poor peformance shuleni ni maafisa elimu tu?
Hivi wakimpelekea kwa uwazi sababu na nini kifanyike kuboresha ufaulu kwa kiwango cha juu hatatahayari huyu?
He is so arrogant, the likes of Joseph StalinNimesikitika sana jinsi alivyo ongea nae na sidhani kama hizo ndizo ethics za uongozi
Ndiyo aulizwe yeye...Ila watoto wakifeli aulizwe yeye?
Aulizwe nini wakati yeye mwenyewe ni bingwa wa kufeliIla watoto wakifeli aulizwe yeye?
Hivyo unahararisha tuongozwe na waliopata zeroUnaweza kuwa na taaluma lakini bado ukawa mjinga unayepaswa kuongozwa.Na kwa taarifa yako elimu sio uongozi. Makonda chapa kazi wengi wanadaresalaam tunakuunga mkono
Tena alijaribu kusoma masters mzumbe aka disco tenaAulizwe nini wakati yeye mwenyewe ni bingwa wa kufeli
Ufeli la saba, ufeli form 4, ufeli chuo then uje kufaulu kwenye ukuu wa mkoa huu utakuwa muujizaTena alijaribu kusoma masters mzumbe aka disco tena
Wewe ulifaulu?!!Hajatukana mtu, simply amewapa ukweli mchungu....huo upuuzi wa "huyu ni kama baba yangu" upelekeni hukohuko...simply hapo wako kazini...watoto wanafeli alafu mnaleta ngebe?
Ngimeishwa Sana Mwananu akwa, habarhi sa mfiri nyiiingi?Ningeshangaa,sio "Nigeshangaa" umeishwa usho Marandu?
Anazungumza na Maofisa elimu kama watoto wadogo.
Bro...umekosa hekima
Hilo tu Mimi ningejifanya Naenda Kumnongoneza huyu Hermaphrodite kitu hala ile anatega sikio nakumba mtu Mkofi wa machoni dadeki! Just kidding!Kila nikimkumbuka jamaa namuona magu hafai. Huyu msela ni zaidi ya zero, yupo negative kabisa. Aisee nashukuru sikua masikini na kufanya kazi chini ya huyu jamaa maana ningemtukana face to face na bongo anavyopendwa na mkuu wangenitupa jela.
Hilo ni jibu, sio swaliW
Wewe ulifaulu?!!