25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,771
tatizo la wabongo walio wengi wanachuki sana alafu ukiwauliza wao makabila yao yakoje awakubali kutaja wala mikoa yao alafu na ushamba unwasumbuaeti huwezi kukuta muhaya tajiri...
Pambana na hali yako bro...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
tajiri wa kwa 1 mweusi ni mengi lakini tajiri wa pili mweusi ni mufuruki nae kafa mwaka juzi hilo hawalijui

Aliyesoma hiyo habari anifanyie summarization... All in all Kagera imejaa uchawi uvivu na ubaguzi vyote hivi husababisha Umasikini mkubwa ktk mkoa huo... Ndio maana huwez kukutana na Muhaya tajiri...
