Anachokitafuta RC wa Kagera atakipata

Anachokitafuta RC wa Kagera atakipata

eti huwezi kukuta muhaya tajiri...


Pambana na hali yako bro...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
tatizo la wabongo walio wengi wanachuki sana alafu ukiwauliza wao makabila yao yakoje awakubali kutaja wala mikoa yao alafu na ushamba unwasumbua

tajiri wa kwa 1 mweusi ni mengi lakini tajiri wa pili mweusi ni mufuruki nae kafa mwaka juzi hilo hawalijui
 
Sijasoma mpaka mwisho .
RC yupo sahihi kabisa, hizo phd na viingereza mnazitumia kujenga mikoa mingine kwenu mnakusaha
acha ushamba wewe mkoa ujengwa na serikali sio raiya kisa wamesoma leo mkoa hauna maji shule vituo via afiya barabala nyumba za walimu shule sitendi soko nk nani ajenge kama sio serikali taja huo mkoa wako na utaje wanachi walicho jenga katika hivio nilivio vitaja nakabila lako utaje tulijue kama utathubutu
 
kwa uandishi huu na mpangilio inaonyesha kuna tatizo na hapo hapo wewe ni profesa.

Andiko lako halijajibu hoja ya:
'' kila mtu anajifanya mwanasheria, na kuongea viiingeleza vingii" (Kujiona kila mtu msomi)
aliongeza kuwa ''maduka yanachelewa kufunguliwa hata zile siku za kawaida'' (Uvivu).

Kwako profesa:
-Kagera haikuwai kuingia kwenye vita na Uganda, ni nchi kama nchi sio mkoa
-Kuna mikoa mingine wana matatizo ya magonjwa kwenye mazao na mifugo yao.
-janga la ukimwi ni la kujitakia sio kama tetemeko la ardhi.
-acheni kufake maisha
haya hilo tetemeko la aridhi waisani watoa misaada mpaka watz wakachanga jula b sitta huyo mshezi sialikataa kuwapa walengwa alafu washezi wenzie heti wahaya awajengi mkoa wao hovio utadhani nyiyi mmejenga mkoa yeni pumbafu zenu
 
Mimi binafsi nimekuelewa na kukubali kiuhalisia hichi ulichoandika.
Wahaya wanalaumiwa bure wakati serikali ya CCM ndio iliyopaswa kulaumiwa kwa haya yanayoendelea Kagera. Wahaya hawana tatizo lolote katika kupambania maendeleo yao, mchawi ni serikali ya CCM.
washezi wengi wamekaa kuwalaumu wasomi wa kihaya mfano wakati wa tetemeko la aridhi watzn na waisani wanje na ndani walichanga labilambi kufikia b sitta lakini mshenzi yule alikataa hela hiyo isiende kwa walengwa kisa bukoba mjini kuna mbunge wa cdm rwakatale washenzi wenzie hilo hawalijui
 
Hata mimi nashangaa kulala kwa wahaya kunazuia vipi serikali kujenga barabara, hospital, vyuo n.k?? Tatizo kubwa Tanzania ni hawa chawa kazi yao kuponda wananchi wakati CCM ndo inawarudisha nyuma wananchi
hawa washenzi wanao shambulia wahaya kwa maneno makali waulize wataje makabila yao na wanakotoka hili tulinganishe kama watakubali kwa ujinga huu ccm itaongoza daima sababu watz walio wengi akilizao kiza totolo
 
Wahaya acheni ujuaji, mkiambiwa mnatuletea maneno ambayo haya na hata paragraph, huu nao ni ujuaji wa kujiona umeandika vizur kumbe hujazingatia taratibu za uandishi.
tutajie kabila lako tulijue tafadhari
 
Yaani umesema ukweli mtupu mtanu wangu mie hapa ntarime. Sema umesahau ishu moja kuwa wahaya waliosoma kabla ya mwaka 1900 walipotelea ulaya mazima mpaka Leo wapo huko.
Yaani wahaya wote wakirudi mkoani kwao Nina Imani Tanzania tutakuwa na upungufu wa watalamu hili najua watakataa.
bora wewe mtu watarime kuliko hawa ng,ombe wanaoshambulia wahaya na kuficha makala yao
 
Mkuu ulipiga kwenye mshono.
"Mnyamahanga" ukihamishiwa kufanyia kazi Kagera, utapigwa vita vya ukabila na fitina hadi uhamishwe ama ufukuzwe kazi.
hilo linahusika vipi na serikali kujenga miundo mbinu ndio kusema watumishi wote wa umma mkoani kagera ni wahaya? ebu tupe tafiti yako ulio ifanya pia ututajie mkoa wako na kabila lako tilijue
 
huwezi kuwq unatoka mkoa wa kagera wewe hata kuandika hujui hahahaha
taja kabila lako tulijue na mkoa wako na miundo mbinu iliojengwa na hilo kabila lako tukufu hili tulinganishe na huo mkoa wakagera wenye kabila baya
 
Hili povu lako ni dhabiti na la kweli kabisa. Lakini mtoa povu nikupe kisa kimoja ili nyie wana kagera mjijue kwamba kinachowaangusha ni mbwembwe zenu, uvivu na kupenda sana chini badala ya kupiga kazi. Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia ujerumani ya hitler na wajerumani walipondwa pondwa sana na majeshi ya ulaya na marekani. Nchi yote iligeuka kifusi. Lakini miaka 10 baadae, ujerumani iliamka tena na kuwa taifa kubwa ulaya licha ya vikwazo walivyowekewa. Jamaa walipiga kazi hasa.
Sasa nyie wakora waitu, vita ya kagera iliisha zaidi ya miaka 40 iliyopita, bado mnaitumia kama kigezo cha umasikini wenu?

Kutokana na uvivu na makidai yenu huenda ndiyo maana magufuli alikataa kuwapa ile michango ya tetemeko.

Eti unataka serikali iwapendelee. Serikali gani inapendelea wavivu? Mwafaaaaa
kweli wanakagera ni wavivu wapenda chini,tutajie kabila lako la wachapa kazi wasio penda chini pamoja na mkoa wako ulio jengwa miundo mbinu na wananchi usipotezee tutajie tafadhari
 
Aliyesoma hiyo habari anifanyie summarization... All in all Kagera imejaa uchawi uvivu na ubaguzi vyote hivi husababisha Umasikini mkubwa ktk mkoa huo... Ndio maana huwez kukutana na Muhaya tajiri...
wewe na nguluwe tofaoti yenu nini?
 
Hawakuwai kushtuka mapema kuona kuwa ubinafsi utawaletea umasikini.

Nilihadithiwa na mtu mmoja kuwa; kwenye maduka yao huduma ni kwa muhaya kwanza.

We mchaga utasubiri kwanza pembeni.
sasa wewe unasifia kabila la wachaga wewe ni mchaga? au wachaga wanakugeza unashika ukuta unagonoka?
 
kwa uandishi huu na mpangilio inaonyesha kuna tatizo na hapo hapo wewe ni profesa.

Andiko lako halijajibu hoja ya:
'' kila mtu anajifanya mwanasheria, na kuongea viiingeleza vingii" (Kujiona kila mtu msomi)
aliongeza kuwa ''maduka yanachelewa kufunguliwa hata zile siku za kawaida'' (Uvivu).

Kwako profesa:
-Kagera haikuwai kuingia kwenye vita na Uganda, ni nchi kama nchi sio mkoa
-Kuna mikoa mingine wana matatizo ya magonjwa kwenye mazao na mifugo yao.
-janga la ukimwi ni la kujitakia sio kama tetemeko la ardhi.
-acheni kufake maisha
Umekunywa pombe ya wapi?
 
Ujuaji mwingi sana na ubaguzi mwingi, mimi nilisoma kule ilikuwa inafikia mwalimu anatumia kihaya kufundishia , kwani mnakuta darasa zima ambao sio wahaya mko kama 4 tu!!nenda mkoani pale hadi yule RC masawe, akapandika vibao "SPEAK KISWAHILI" yaani hata ofisini kwa wewe usiye mhaya kazi unayo' kule sio ILE ONDOKA USEMWE"Pale ni hata ukikaa hapo hapo utasemwa tu.Na wao wakishakutana tena wanaanza kubaguana kutegemea na eneo wanalotoka huko kijijini!!Tatizo lao kila mtu anataka aonekane anawazidi wengine , ili anyenyekewe!!!
kweli kabisa, sasa tuwekee nawe kabila lako na mkoa wako hili tujue uzuli wahilo kabila lako
 
mji bado wanaishi kijima sana ule

hawa jamaa bila kutembea tembea na kusoma aseeh jamaa wana ujima sana

ubaguzi wanao sana, wahaya wanawaona wanyambo si lolote, wakitoka hapo wanakuja baguana huyu wa kiziba huyu wa katoro
tatizo lako utaki kutaja kabila lako na mkoa wako
 
Nilichogundua baadhi ya watu mna wivu kwa hao wahaya .hoja ni serikali kutoelekeza miundombinu km vyuo,stendi,nk nk..lakini watu mnaacha iyo hoja na kukimbilia hoja za kipuuzi Mara uchawi,sijui uvivu,majivuno nk nk..YOU PEOPLE ARE U NUTTS..
 
Back
Top Bottom