Anachokitafuta RC wa Kagera atakipata

Anachokitafuta RC wa Kagera atakipata

Wanazidiwa na Tabora. Hebojo
tabora sehemu gani igunga uyui sikonge urambo tabora mjini ndala puge mwisi ndala mabama kigwa taja tabora wanatuzidi kwa lipi hoja ni kwanini wasomi awaliti maendeleo kagara ndio kusema baadhi ya maendeleo yaliko tabora yameletwa na wasomi wakina kapuya sitta lupumba? wanyamwezi ndio walio yaleta fafanua
 
Aliyesoma hiyo habari anifanyie summarization... All in all Kagera imejaa uchawi uvivu na ubaguzi vyote hivi husababisha Umasikini mkubwa ktk mkoa huo... Ndio maana huwez kukutana na Muhaya tajiri...
wewe ni ajiri namba ngapi nchi hii?
 
Hivi masoko watu binafsi hawaruhusiwi kujenga? nafikiri wanabukoba mnaopenda mkoa wenu,jikusanyeni na mtumie usomi wenu kupata pesa kwa kuchanga, kukopa, mitaji ya watu etc kama mnavyochangiana mabilioni kwenye harusi zenu lakini this time muwekeze kwenye soko kubwa la kisasa ili mkuze mji wenu, investment na kutoa ajira kwa wengine, inawezekana, hakuna haja ya kusubiri serikali nimeona nchi za wenzetu masoko ni ya watu binafsi na yanaendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana... bilioni 10 au 20 kwa wahaya sio pesa nyingi wakiamua
Kwani huo mji wa Bukoba kwenye katiba ya nchi umeandikwa ni wa wahaya tu? Hakuna mji wowote Tanzania unaomilikiwa na kabila fulani! Nchi yote ni mali ya watanzania wote! Hivyo kujenga au kulipa kodi ni jukumu letu watanzania!
Hii tabia ya kusema mji fulani ni wa kabila fulani, hivyo ilo kabila linawajibika kujenga mji wao, ni udumavu wa fikra na ni tabia mbaya za ukabila!
Serikali inawajibika kupeleka miradi ya maendeleo kote nchini bila upendeleo.
 
Kwani huo mji wa Bukoba kwenye katiba ya nchi umeandikwa ni wa wahaya tu? Hakuna mji wowote Tanzania unaomilikiwa na kabila fulani! Nchi yote ni mali ya watanzania wote! Hivyo kujenga au kulipa kodi ni jukumu letu watanzania!
Hii tabia ya kusema mji fulani ni wa kabila fulani, hivyo ilo kabila linawajibika kujenga mji wao, ni udumavu wa fikra na ni tabia mbaya za ukabila!
Serikali inawajibika kupeleka miradi ya maendeleo kote nchini bila upendeleo.
Wote tunajua hilo na stop nonsense accusations za ukabila, hakuna mkabila hapa, nimemjibu kama alivyo uliza swali, specific wamesemwa wahaya na nimejibu specific kuhusu wahaya, mpuuzi sana wewe
 
Back
Top Bottom