Good governance!!! Mi naona anavofanya PM ni sahihi meneja aliamua kumuongopea PM mbele za watu na camera zikiwa zinarekodi ndipo PM nae akaona nae amjibu pale pale ili kuweka kumbukumbu vizuri asije onekana ni PM anaekubali kuongopewa mbele za machoya camera bila hivo mtasema PM dhaifu anakubali uongo au nae anahusika