Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??
Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.
Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
4. Njia za kuepukana na matatizo haya.
NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.
Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.
Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
4. Njia za kuepukana na matatizo haya.
NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.