Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

Tasia I

JF-Expert Member
Apr 21, 2010
1,223
193
Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??

Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.

Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
4. Njia za kuepukana na matatizo haya.

NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.
 
I m sufferind the same experience ,nasubiri wachangiaji kidogo then nitajaribu kutoa experience yangu may be we can help each other.
 
Fanyeni mapenzi na watu mnaowapenda kwa dhati. Kuopoana kwa ajili ya sura, fedha, majina ya ukoo, kuwa desprate etc kunasababisha kutoweza kuvumiliana. Hii hupelekea kumaliza haraka au kuchelewa kumaliza. Hata hivyo mambo mengine ni ya kibaiolojia zaidi hivyo si lazima kuwa na mtu ambaye hamuendani in terms of speed. Mapenzi kuridhishana, ila kuridhishana huko basi kusisababishe manung'uniko au maumivu.
 
Kumaliza haraka ni tatizo, na kukawia sana nako inaweza kuwa shida kwa upande mwingine.Maana inatakiwa iwe raha kwa wote. Hopefully hizi njia zifuatazo zitakuwa ni msaada kwa mtu mwenye tatizo hilo.
Tip 1 - Breathing
One of the reason for premature ejaculation is not being relaxed. Therefore you need to start deep breathing throughout the day. Start by taking a 7 second long breath through your mouth, at the hold for 1 second and then breath out through your mouth for 11 seconds. Try doing this at least 5 times throughout the day. Also when having sex make sure you breathe through your mouth as it relaxes you way more than breathing through the nose.
Tip 2 - Blood Flow
Another reason for premature ejaculation is not being able to get or keep a full erection. In order to get rock solid erections you need a good flow of blood to that region. It's very easy to do this by adding a couple of ingredients into your diet. If you can add a 1/4 teaspoon of cayenne pepper or gingko biloba that will increase the blood flow dramatically and you will enjoy rock hard erections. Another ingredient is l-arginine as it helps with producing NO which is responsible for getting an erection.
Tip 3 - Kegels
Kegels are basically exercises for the PC muscle. When you are urinating an you try to stop it you use a muscle called the PC muscle which is located between your testicles and anus. You should also feel it when you ejaculate, it's basically the trigger that shoots the load. These are crucial to lasting way longer but there is a certain way to do the exercise. If you do it wrong it could have a negative impact and make you ejaculate quicker.
These tips will definitely help you last longer in bed as soon as tonight. But if you want to be able to thrust hard for extended periods of time you need to take it to the next level.

Good luck.
 
Huyo mzee labda anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
 
Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??

Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.

Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
4. Njia za kuepukana na matatizo haya.

NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.

hujaeleza kuchelewa kufika kileleni ni muda gani?
au kuwahi ni muda gani?

ukipata muda utapata jibu mkuu wala hutategemea ujibiwe
na mtu mwengine. kwani binadamu tunatofautiana

 
Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??

Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.

Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
4. Njia za kuepukana na matatizo haya.

NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.

Ina maana huko mtaani kwenu mnafanya tathmini baada ya tendo? MAKUBWA HAYA!
 
Ina maana huko mtaani kwenu mnafanya tathmini baada ya tendo? MAKUBWA HAYA!
Ahahahaaaah! Huo mtaa wao kama wanafanya hivyo ni utaratibu mzuri sana maana sehemu nyingi mambo ya unyumba huwa ni siri ya wanandoa/wahusika.
 
Stori ya kupika..hata hivo mdau utenzi wako sio mbaya sana..

btw, kwa utatuzi wa shida yako waone wataalamu wa afya..
 
Fanyeni mapenzi na watu mnaowapenda kwa dhati. Kuopoana kwa ajili ya sura, fedha, majina ya ukoo, kuwa desprate etc kunasababisha kutoweza kuvumiliana. Hii hupelekea kumaliza haraka au kuchelewa kumaliza. Hata hivyo mambo mengine ni ya kibaiolojia zaidi hivyo si lazima kuwa na mtu ambaye hamuendani in terms of speed. Mapenzi kuridhishana, ila kuridhishana huko basi kusisababishe manung'uniko au maumivu.

kwa hiyo wakati unanicoment kipindi hicho hukujua haya? Pia inaonyesha umekua sasa
 
Kama wewe ni wakumaliza round ya kwanza, dawa ni moja tu: MAZOEZI. I mean mazoezi ya mwili wako wote. Fanya sit-ups na jogging za umbali wa wastani kila baada ya siku mbili. Lakini dawa hii HAIFANYI KAZI ENDAPO HUJAVUTIWA SEXUALLY NA DEMU WAKO.

Kama wewe ni kumaliza round ya 12 unatakiwa ujuwe kwamba unamuumiza mwenzako, kwa hiyo njia mbadala za kukufanya umalize wakati muafaka zinahitajika. Including kumshirikisha demu wako katika "kujichua hadi kieleweke " au mpenzi wako afanye "mike check 1,2,3" au "siku ya gulio katerero" au funga main "entrance" na badala yake utumie main "exit", nk. Ukishindwa hiyo tia timu kwa sangoma ili ukafanyiwe ukandarasi.

All in all, afya yako na mapenzi uliyonayo kwa demu ndio yatakayo determine muda wakumaliza. Wanaume wengine wasipovutiwa sana na demu wanamaliza haraka, wengine kinyume chake.
 
Kama wewe ni wakumaliza round ya kwanza, dawa ni moja tu: MAZOEZI. I mean mazoezi ya mwili wako wote. Fanya sit-ups na jogging za umbali wa wastani kila baada ya siku mbili. Lakini dawa hii HAIFANYI KAZI ENDAPO HUJAVUTIWA SEXUALLY NA DEMU WAKO.
Kama wewe ni kumaliza round ya 12 unatakiwa ujuwe kwamba unamuumiza mwenzako, kwa hiyo njia mbadala za kukufanya umalize wakati muafaka zinahitajika. Including kumshirikisha demu wako katika "kujichua hadi kieleweke " au mpenzi wako afanye "mike check 1,2,3" au "siku ya gulio katerero" au funga main "entrance" na badala yake utumie main "exit", nk. Ukishindwa hiyo tia timu kwa sangoma ili ukafanyiwe ukandarasi.

All in all, afya yako na mapenzi uliyonayo kwa demu ndio yatakayo determine muda wakumaliza. Wanaume wengine wasipovutiwa sana na demu wanamaliza haraka, wengine kinyume chake.


Mazoezi muhimu kwa afya yako kwa ujumla, lakini si mazoezi yote yanaweza kuwa msaada wa sexual organs. Huwezi kusema labda kunyanyua chuma/ kutunisha misuli ya mikono na kifuani itasaidia wewe kuchukuwa mda kumaliza.

Tendo hilo linajumuisha Sexual organ na mind ya mtu. Kama mind haijatulia unaweza kushindwa hata kusimamisha, na kama ukisimamisha basi utatumia mda mchache tu unakuwa umemaliza. Mazoezi yaliyo ya msaada ni kuimalisha misuri ya mfumo wako wa uzazi. Ikiwa imara utakuwa na control nzima ya tendo hilo na kuamua ni lini umalize. Ikiwa lege lege basi ndo maana unakosa control unamaliza haraka. Misuri yenyewe Iko chini kidogo ya korodani. Nadhani ukiwa unakojoa mkojo, ukiamua kukojoa na kuubana gafla basi utajuwa ni misuri gani inahusika. Hiyo hiyo ndo inabidi uifanyishe mazoezi ya kuibana na kuichia ili iwe shupavu. Na hii ikiwa imara itakusaidia hata kusimamisha kwa mda na hata kwenye uzazi inakuwezesha kurusha mbali mbegu zako.

Pia ukiwa kwenye tendo lenyewe, Usiende kwa papala kwa speed kama vile unataka kuuwa mtu, au unakimbia mita mia, relax, nenda taratibu, legeza viungo vyako vya sehemu za siri hasa misuri ya nyeti na mapajani/kiunoni hasa pale ukiona unakaribia kumaliza basi msukume mzee ndani kabisa / kinena chako kigote kwenye mlango wa nyeti ya mwenzi wako alafu legeza sehemu za muunganiko wa mapaja, utaona km vile nguvu ya mzee imepungua kidogo, alafu endelea.

Jaribu pia kupulia mdomoni na siyo puani ili mwili u-relax na speed ya kumaliza Ipungue.Taratibu utaona mabadiliko kwa kutumia hizi tecnique ndogo ambazo hazigharimu pesa. Ila ya misuri hapo juu ni muhimu zaidi, jaribu utaona mabadiliko mzee.
 
duh huo mtaa soo.... !! anayechelewa kumaliza hana steam and anayewahi ana papara sana:tonguez::tonguez:
 
Stori ya kupika..hata hivo mdau utenzi wako sio mbaya sana..

btw, kwa utatuzi wa shida yako waone wataalamu wa afya..

Mjuba anakwambia "watu kibao wamekusanyika mita kama 67" utafikiri alikuwa na tape measure vile.
 
mmh,sijawahi watu wa mtaani wanakusanyika kwa issue hiyo.huo mtaa basini balaa na umejaa umbea
 
Ahahahaaaah! Huo mtaa wao kama wanafanya hivyo ni utaratibu mzuri sana maana sehemu nyingi mambo ya unyumba huwa ni siri ya wanandoa/wahusika.

Kwa kweli, hayo mambo yanatakiwa kuishia kitandani, sasa hadi watoto tena wanasikiliza................ maana huo mkusanyiko nahisi asilimia nyingi tu walikuwa ni watoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom