Sio vibaya kuanza upya,,,
Niko fourth floor Naenda fifth’s na bado nataka nijiunge na masomo ,,, sijui nitasinzia darasani? 😀
Mimi nashauri afanye ku explore interests zake kwanza, Kama ni magari, umeme , mobile phones ama biashara, etc.., kisha ndio mkae kuchunguza opportunities zilizopo ,ambazo zinamatch na interests zake. Then ndio mumuweke hapo alipo/position yake kwa sasa (status) na anapotaka kuwa. Kama anakosa mtaji ama skills , ndio aanzie hapo.
Nashauri aanze na baby steps, Kama ni biashara aanze na mtaji kidogo huku akiangalia muitikio wa biashara yake huku akiexpand taratibu. Na Kama ni skills amekosa ,arudi shule akaanze na basics huku aki gain confidence kuenda zaidi/juu. Makosa yake ni ku aim too high na kufanya vitu/courses ambazo sio interests zake. Uki aim too high ukikosea lazima confidence ishuke. Na pia kufanya /kusoma vitu Hauna passion navyo Mara nyingi leads to failure.
Atakuwa depressed sababu wengi above 35 years wako employed kulinganisha na vijana. Sasa ukiona age mates wako wote wana kazi wewe huna na constantly uko kwenye hio environment ni rahisi ku give up. Ndio maana nakubaliana na huyo aliyesema abadili mazingira,,,,