Emily magnus
JF-Expert Member
- Apr 7, 2026
- 821
- 1,501
Jamaa kwanza ajikubali jinsi alivyo, yaani akubali yeye ni wahivyohivyo(anatatizo/kilema) ila, baada ya hapo aangalie kutokana na jinsi alivyo, anaweza kufanya nini? Ndio afanye.
Sina chakushauri sana, maana me sio mwerevu sana kwenye maandishi.
Ila ajikubali na ajiamini, asiogope, asikate tamaa kwa kila kitu na asijidharau. Kama yupo pekee yake kimaisha, hategemewi na familia(wazazi n.k), miaka 5 tu katoboa.
Ila angepata na rafiki mzuri na mwaminifu wakumwereza matatizo na shida alizonazo japo sio zote na akamsaidia na kumtunzia siri. Kazi ya rafiki iwe kumsaidia kiushauri, kimawazo na kumsapoti kwenye mambo yake.
Anaishi na jamii ila jamii imemtenga, japo sio sana. Kwa hiyo aangalie kwenye maisha yake wapi kuna nafasi ya kutoka kimaisha. Hata wewe de Gunner unaweza kuwa rafiki yake. Afu mwambie jamaa kuna jukwaa linaitwa jamiiforum, awe anashindashinda huko atapata madini ya kutosha tu!!
Sina chakushauri sana, maana me sio mwerevu sana kwenye maandishi.
Ila ajikubali na ajiamini, asiogope, asikate tamaa kwa kila kitu na asijidharau. Kama yupo pekee yake kimaisha, hategemewi na familia(wazazi n.k), miaka 5 tu katoboa.
Ila angepata na rafiki mzuri na mwaminifu wakumwereza matatizo na shida alizonazo japo sio zote na akamsaidia na kumtunzia siri. Kazi ya rafiki iwe kumsaidia kiushauri, kimawazo na kumsapoti kwenye mambo yake.
Anaishi na jamii ila jamii imemtenga, japo sio sana. Kwa hiyo aangalie kwenye maisha yake wapi kuna nafasi ya kutoka kimaisha. Hata wewe de Gunner unaweza kuwa rafiki yake. Afu mwambie jamaa kuna jukwaa linaitwa jamiiforum, awe anashindashinda huko atapata madini ya kutosha tu!!