de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,568
- 23,043
For majority part of my life,
Nilikuwa najiuliza what's the point of all of this?? Sasa leo baada ya meditation na fasting ya kina.
Jibu limekuja,
Sio utambuzi wa kujua mimi ni nani, au kwa nini maishani. Bali kutambua sikupaswa hata kuuliza kabisa.
Leo ndo nimetambua kuwa mimi ni kila kitu na pia sio kitu
Leo ndo nimetambua uhalisia, mimi ni fractal of GOD, meaning mimi ni kioo cha Mungu.
So are watu wote. Na kila kitu.
Sasa naanza kuishi baada ya kuwa muigizaji kama takriban asilimia 99 ya binadamu wengine.
Life, begins today.. 🙏
Hivi kuna mtu alishawahi kuyaona maisha kama marudio then kuna siku tu unaona kama kuna mlango ya fahamu inafunguka by any chance mpaka wewe mwenyewe unashangaa.
Nimegundua kila kitu unacho kifanya kufikia huu ufahamu ndo kinacho tu fanya tusifikie, including meditation.
Inabidi u surpass the need to do anything, pale ambapo unachagua kufa before hujafa. It's choosing suffering consciously. So today, nimejikuta na ruhusu "mimi" wa ego afe, na niweze kuruhusu mimi halisi azaliwe.
Nachoweza kusema ni kuwa experience ya leo sitoisahau.. Kwanza hata leo ni illusion maana time is timeless.
Nilikuwa najiuliza what's the point of all of this?? Sasa leo baada ya meditation na fasting ya kina.
Jibu limekuja,
Sio utambuzi wa kujua mimi ni nani, au kwa nini maishani. Bali kutambua sikupaswa hata kuuliza kabisa.
Leo ndo nimetambua kuwa mimi ni kila kitu na pia sio kitu
Leo ndo nimetambua uhalisia, mimi ni fractal of GOD, meaning mimi ni kioo cha Mungu.
So are watu wote. Na kila kitu.
Sasa naanza kuishi baada ya kuwa muigizaji kama takriban asilimia 99 ya binadamu wengine.
Life, begins today.. 🙏
Hivi kuna mtu alishawahi kuyaona maisha kama marudio then kuna siku tu unaona kama kuna mlango ya fahamu inafunguka by any chance mpaka wewe mwenyewe unashangaa.
Nimegundua kila kitu unacho kifanya kufikia huu ufahamu ndo kinacho tu fanya tusifikie, including meditation.
Inabidi u surpass the need to do anything, pale ambapo unachagua kufa before hujafa. It's choosing suffering consciously. So today, nimejikuta na ruhusu "mimi" wa ego afe, na niweze kuruhusu mimi halisi azaliwe.
Nachoweza kusema ni kuwa experience ya leo sitoisahau.. Kwanza hata leo ni illusion maana time is timeless.