Kitaja
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 2,836
- 1,381
Hilo neno lilianza kutumiwa Uingereza ili kutofautisha wakili aliyesomea sheria na akathibitika kuwa wakili dhidi ya watu wengine hata kama wanajua sheria lakini hawajathibitishwa na serikali zao kuwa mawakili.