Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,607
Nakumbuka wakati wa JK Lissu alizungunza sana, JK akasema wewe Lissu ni mwanasheria mzuri lakini punguza speed. akamvumilia. Naomba JPM umpuuzie endelea kuchapa kazi wazalendo tunakuunga mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app