Anaandika Wakili msomi kuhusu Mwanasheria Tundu Lissu

Hebu naomba mwanasheria yoyote mpenda kuelimisha anieleze maana ya 'harbeas corpus'. Ni nini hasa hii?
ha·be·as cor·pus
ˌhābēəs ˈkôrpəs/
noun
Law
noun: habeas corpus
  1. a writ requiring a person under arrest to be brought before a judge or into court, especially to secure the person's release unless lawful grounds are shown for their detention.
    • the legal right to apply for a habeas corpus.
 
A writ of habeas corpus is used to bring a prisoner or other detainee (e.g. institutionalized mental patient) before the court to determine if the person's imprisonment or detention is lawful. A habeas petition proceeds as a civil action against the State agent (usually a warden) who holds the defendant in custody.
 
Anaomboleza wapi yule mnafiki? Mbona wakati mkewe anafariki alikuwa kwenye uzinduzi wa mduara/kigoro cha Saida Karoli? Unafiki umemjaa tu yule mzee!
Haaaa? kwani ukiuguza ndo na kazi usifanye? kwani yeye daktari wa binadamu aliyekuwa anawajibika kwa kumwangalia mgonjwa?
 
Hebu naomba mwanasheria yoyote mpenda kuelimisha anieleze maana ya 'harbeas corpus'. Ni nini hasa hii?
Mimi sio mwanasheria lakini
"a writ requiring a person under arrest to be brought before a judge or into court, especially to secure the person's release unless lawful grounds are shown for their detention"
 
ha·be·as cor·pus
ˌhābēəs ˈkôrpəs/
noun
Law
noun: habeas corpus
  1. a writ requiring a person under arrest to be brought before a judge or into court, especially to secure the person's release unless lawful grounds are shown for their detention.
    • the legal right to apply for a habeas corpus.
Thanks man!
 
Back
Top Bottom