Ana hamu iliyopitiliza hadi namwogopa!

sikia kaka mechi maandalizi kaka,uwe unajaribu kumchezea sana jitahidi sana uwe unakichezea kimboga jela chake kwa muda mrefu kidogo na ikibidi kimumunye kabisa kama unafanya hizo mambo,zitafute nakuzichimbua sehemu zake zenye chaji zaidi na udili nazo yaweza saidia halafu uwe unamfanyia kucha kuchele minus english kwa urefu.jitahidi kumchezea peke yake kumfanye aangushe angalau goli mbili.hakikisha anaridhika pengine goli moja tu litamnyong'onyeza.mia

Mkuu umemaliza..na mwenye masikio na asikie.
 
Nilimshauri akakubali lkn anataka aende gym nnayoenda mm lkn kibaya hapo iko mbali sana na anapofanyia kazi

Baaaaaaas.......hapo ni kuwa anakudhibiti tu,hana kitu huyo bidada wivu tu........Ila naye jasiri kwahiyo kaamua kujilipua,maana si mchezo ile kitu kama nasuguliwa sana lazima akienda toilet asikilizie wakati shii inatoka......tehe tehe
 
mkuu jukwaala kikubwa ni lipi?.
mkuu lipo mwishoni kabisa mwa majukwaa. lipo karibu na jukwaa la dini. kama huna access huwezi kuliona wala kuingia. mtumie pm Invisible umuombe akupe access ya hilo jukwaa kama unataka. mia
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni kwamba mnazini, sasa lile pepo la zinaa limemkamata huyu bi dada na linamwendesha kweli....usipoangalia kuna uwezekano ipo siku naniihii yake itaimemena kabisa nanihiii yako.

Ushauri:
njooni kwa YESU awafanye viumbe wapya, ya kale yote yatapita NAYE atayafanya kuwa mapya

ni wewe au???acha kujishaua kijana mwenzako mjanja anaonja asijekuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Swali wewe watu8 hujawahi kuonja?
 
Last edited by a moderator:
Tatizo sio kwamba cwezi namfikisha na anaridhika kwa cku ya tukio ila akija cku nyingne ni kama hajaguswa mwezi wakati ratiba ni mara mbili au tatu kwa wiki

we nawe eti ratiba mara 2 au 3 kwa wiki?
Khaaa mbona ratiba ya kizee hiyo?
Vibabu ndo vinaratiba hiyo na siye hiyo ratiba tunaipenda kwa vibabu sababu kuna mpunga wa maana hata wewe ambae hujaoa una ratiba ya wababu?
Hapa nafikiria uzee wako utakuwa unafanya mara ngapi kwa mwaka?
Jirekebishe kijana la sivyo wakina mzabzab watakusaidia
 
Last edited by a moderator:
ni wewe au???acha kujishaua kijana mwenzako mjanja anaonja asijekuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Swali wewe watu8 hujawahi kuonja?

Ni mimi huyu huyu wala si mwingine....nimeonja sana na ndio maana najua lipi baya na lipi zuri....btw nimekumisije mzima weye?
 
Last edited by a moderator:
unamuogopa kwa sababu anataka mara kwa mara sio?
Kwahiyo unataka umuoe aje kwako kulala, kakuambia kwao hamna kitanda!!!
Cha kufanya: Mpe mara zote anazotaka kama nafasi na mazingira yanaruhusu.....la sivo wajanja watakusaidia ubaki unalalamika tu ooh wanawake sio waaminifu!!!!!

nimekukubali .....
 
Samboko!
Tatizo lako dogo! inawezekana umezaliwa mjini na mwenzio kazaliwa vijijini. Watu wa mjini vyakula vyao ni kero kwenye kutengeneza vichocheo vya tendo la ndoa. Haya mayai ya kuku matahila, makapi ya mahindi eti sembe hakuna cha maana kinachoingia mwilini.

Muone Dr. akushauri ni chakula kipi kinakufaa ili kuweza kukuongezea stamina! Na kama huyo dem wako ni mzaliwa wa Kanda ya Ziwa (Ukerewe au Uzinza - visiswani) nakushauri umuache kabisa - hutamuweza!
 
Tatizo ni kwamba mnazini, sasa lile pepo la zinaa limemkamata huyu bi dada na linamwendesha kweli....usipoangalia kuna uwezekano ipo siku naniihii yake itaimemena kabisa nanihiii yako.

Ushauri:
njooni kwa YESU awafanye viumbe wapya, ya kale yote yatapita NAYE atayafanya kuwa mapya


Mmmh! waswahili bwana
 
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaa! Ama kweli , siamni mwanaume anakuja JF kulalamika anashindwa kula chakula, eti ameshiba, usijali kaka wapo wenye njaa, watakusaidia SOOOOOOOOOOOOOOOON!
 
Ni mimi huyu huyu wala si mwingine....nimeonja sana na ndio maana najua lipi baya na lipi zuri....btw nimekumisije mzima weye?

kumbe ulionja?basi mwache na mwenzio aendelee kuonja.
Mie mzima wa afya
 
wewe nani alkufundisha huu mchezo si tumeku kanya mara nyingi uache husikii ,huoni watu wanavyopewa dawa za kurefusha maisha feki ARVs huna habari kabsa unajishughulisha na sweet wako .wacha huo mchezo na maimuna wako nikumuona namkimbiza na panga
 
Dah hapa mimi nimecheka kdg. Nilizowea kusikia wadada tu wakilalamika kuombwa mzigo daily! Kumbe na wakaka nao yanawakuta!
 
Kwa sasa naomba nisichangie chochote ila niwasalimie wadau kwa vile ndo kwanza nimeingia katika hili jamvi " how things guys"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom