kandizi KISUKARI...LOLSiku kaisha,umemuona hv karibuni?
Kwishney kawa tofauti
unacheza na tamutamu kila siku halafu unaka ndizi lol
zamani?hebu soma hapo juu BADILI TABIA kasemaje!!
Halafu nishakuonya BADILI TABIA mbona hivyo?
zamani?hebu soma hapo juu BADILI TABIA kasemaje!!
unikabidhi wakati ana mzigo wako...au hujui kusoma?
Hehee atauza ndizi alee mtoto
Mtapauka hadi basi tena mtaenda kukaa kaishoo Karagwe
Halafu nishakuonya BADILI TABIA mbona hivyo?
Bishanga keshakuomba uwe nae mi
nashangaa hutaki kumwachia Amyner utamu wake lol
Ntakupa naniliyu ukae nayo huko labda utatulia
Anaharibu huyo lol
Hivi
@Erickb52 pole ndiyo maisha, nimeona wengi wamecontribute kwenye kuvunja ndoa yako, lakini mmebaki imara! mpo juu kama avatar yangu! lol na we ukome kula visivyoliwa! si unaona vimenogewa mpaka wanataka kuvuruga sasa!?
Na wewe u keep za kwako,its two way ujue,mambo ya ushingofeni koma kabisa,umesikia?
Imeisha,usiku nilikuota nikamaliza kila kitu.