Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Acha uchokozi! Iache ndoa ya watu idumu,
humu ndani wapo vijana wengi tu hawana wenza.......... erickb2 na Amyner kesho watasafiri kwenda Uswisi kupumzika kwa wiki 2!
Last edited by a moderator:
Erick darling..
Erotica umecgelewa....mchukue BADILI TABIA mkajipange upyaAmyner darling... achana na @Ericb52, hakufai kabisa hata kwa mchuzi.
kuna kaka'angu anakupenda na anajua kulea wala hana purukushani. ni mwanaume wa ukwee
akitoka nje atatoka kwa mmoja tu sio kama Eric anaetoka na sisi wengi. come this way Amy........
Kuna mtu kanionea BADILI TABIA humu ndani? Ni hilo tu. Mkimwona mwambieni namsubiri a-come this way......
Nani tena?Kuna mtu kanionea BADILI TABIA humu ndani? Ni hilo tu. Mkimwona mwambieni namsubiri a-come this way......
Kipenzi changu Amyner....!
Najua nilikukosea sana ila nashukuru things are now good,kweli u muelewa na mwenye mapenzi ya dhati kwangu,Nakuahidi kulinda penzi letu kwa nguvu zote!
Pia hii ishu imenisaidia kuwajua wabaya wangu, Bishanga BADILI TABIA Remmy Nicas Mtei BAGAH Erotica Baba V wote hawa sio rafiki wema...!
Nimewajua friends wa kweli, Kongosho thanks sn Smiling Saint The secretary Qt B YNNAH wote nasema asante sana kwa upendo wenu.
Mamndenyi thanks mumy
special thanks kwa Judgement na Mwanyasi !
Mwisho nawajulisha kuwa mi na Amyner Hakunaga zaidi yetu....
Amyner, I love you so much!
Signed
Erickb52