1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,129
- 2,766
Jembemtaji Msingi kiuno.
Last edited by a moderator:
Si amwage ata mkojo kwani dem atajua?
Hahahaaaaaaaaaa yan nmecheka sana leo kwa hii koment yakoo inaonyesha umefikir mbali sana mkuu
yan unavyoelezea kama, vile mtu anaumwa cancer.
Si amwage ata mkojo kwani dem atajua?
NILICHOMSHAURI
Aache mchezo wa masterbeshen na amekiri kuwa anafanya mchezo huo
Kwani punyeto inazuia mwanaume kumwaga manii?
Kwa namna ulivyoelezea mimi nadhani kuna tatizo zaidi ya punyeto, unless utuambie kuwa akifanya masturbation huwa anatoa manii lakini si wakati wa ngono...
Angefurahia tu bana maana kanataka kamtundike mtu kibendi
Yaan leo humu kuna vituko,sasa huyo ambae hamwagi kwani lazima kumwaga eti? Si ndio kapunguza mimba zisizo na idadi
mamaa tumbo mbona mnaninyanyasa hivyo ukilaza ni sifa kama sifa nyingine
mfano
dinazarde ni binti mzuri ,mfupi.kilaza kidogo n.k sasa umeelewa
good morning