Amwagi kabisa

Amwagi kabisa

Ukichunguza hawa wengi chimbuko lao wengi watakuwa wamekulia bongo.............Vizuri wasema vizuli..nk..
Na walimu wenyewe wengi wakileo wanakosea viswahili watoto watajifunza kiswahili vipi




Hivi njyie watoto mna matatizo gani na kiswahili?
Amwagi-Hamwagi
Aya-Haya
Ebu-Hebu
Akuna-Hakuna
Aji-Haji

Mna matatizo gani nyie?

Halafu ukitazama wenye haya matatizo ni wale wa kuanzia miaka 13-25,mmeumbwaje nyie?
 
Ndio faida ya JF na MMU hiyo...Yote haya tusingeyafahamu...Ngoja ntamfanyia wangu nione kama zitaongezeka...Nataka ziloweshe kitanda...



He ....

Kumbe korodani zinafanyiwa masaji!
 
Kwanza aache kupiga puli....Pili ale vitu ambavyo vitasaidia kuwa na mihemko atakapokuwa na wapenzi wake...Mfano Karanga Mbichi, Korosho, Vinywaji vinavyoleta mihemko, Mayai na yai asikaange hadi likakauka liwe kidoogo na ule ute....Achanganye pia yai bichi na maziwa anywe...nk..Ale vyakula vinono nono vya kupika nyumbani...
ungetaja sasa vinnywaji vyenye mihemko ni vipi ili avijue, asije akaenda kufakamia konyagi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom