Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,907
- 57,698
๐๐๐๐๐๐Missionary my foot!! acha zako hizo! Tena unaonekana unajiamini kweli ni mashuti heavy nonestop! Utakua vizuri wewe
๐๐๐๐๐๐Missionary my foot!! acha zako hizo! Tena unaonekana unajiamini kweli ni mashuti heavy nonestop! Utakua vizuri wewe
Unakimbilia wapi weweee baki hapaa unisimulie vizuri mambo yako mazito๐๐!๐๐๐๐๐๐
Kweli Uzee shida, yaani hapo nimekimbia mita 500 tu tayari nahema Juu juu, imagine upo na dogodogo si ataniua kitandani ๐๐คธ๐คธ๐คธUnakimbilia wapi weweee baki hapaa unisimulie vizuri mambo yako mazito๐๐!
Wanaume hamzeekagi nyie hata kama kizeee unakuta kinatembeza bakora sio kitoto!!Kweli Uzee shida, yaani hapo nimekimbia mita 500 tu tayari nahema Juu juu, imagine upo na dogodogo si ataniua kitandani ๐๐คธ๐คธ๐คธ
Hahaha........Umri huu ni wa kupata Mzee mwenzako tu, ukijichanganya kwa Hawa Vijana ni hatari kwa afya ๐๐คชWanaume hamzeekagi nyie hata kama kizeee unakuta kinatembeza bakora sio kitoto!!
Tena hizo mita 500 Ndio unajua fit sana
Awapii... huo uzee ukipata kibinti ndio vizuri unakichakaza mpaka kinakuheshmu na salute juu๐๐๐Hahaha........Umri huu ni wa kupata Mzee mwenzako tu, ukijichanganya kwa Hawa Vijana ni hatari kwa afya ๐๐คช
๐๐คธ๐คธ๐คธAwapii... huo uzee ukipata kibinti ndio vizuri unakichakaza mpaka kinakuheshmu na salute juu๐๐๐
Vi emoji vyako tu unaonekana balaa sana wewe!! Ni Moto wa kuotea mbali!๐๐คธ๐คธ๐คธ
Hapana Mkuu, useme napenda mazoezi ya kuchangamsha mwili kidogo kama hivi ๐ค๐๐Vi emoji vyako tu unaonekana balaa sana wewe!! Ni Moto wa kuotea mbali!
Hahahahahaha... Sawa na Inapendeza sana!Hapana Mkuu, useme napenda mazoezi ya kuchangamsha mwili kidogo kama hivi ๐ค๐๐
Karibu kwa jogging Mkuu ๐คช๐๐คธ๐คธHahahahahaha... Sawa na Inapendeza sana!
Nije tufanyie hio jogging Wapi sasa??Karibu kwa jogging Mkuu ๐คช๐๐คธ๐คธ
Napatikana Mitaa ya Ferry, jirani na ofisi ya Waziri Mkuu. Tupo tuna uza uza Samaki hapo ๐๐๐๐Nije tufanyie hio jogging Wapi sasa??
Ndio wapi hapo?? Hebu nielekeze vizuri nije tuungane kwenye jogging MkuuNapatikana Mitaa ya Ferry, jirani na ofisi ya Waziri Mkuu. Tupo tuna uza uza Samaki hapo ๐๐๐๐