Amvunja mgongo mpenzi wake akitafuta G-spot

Amvunja mgongo mpenzi wake akitafuta G-spot

Hahahaaa..bia tamu kwa wanaokunywa ukiwa na stress zako mamsap kakuchanganya mara mchepuko kazingua kazini wamekuzingia aaahhh kwaraha zako unapoteza mawazo!!
Hahahaha .................Kuna Wakati unapata ajali kote kote, kwa mchepuko na nyumba Kubwa. Unajitafutia zako hotel unajificha huko siku 2 au tatu kutuliza kichwa huku unanyonya zako mvinyo na Samaki choma😋🤗

Maisha yenyewe ndiyo haya haya Mkuu 🤸🤸
 
Hahahaha .................Kuna Wakati unapata ajali kote kote, kwa mchepuko na nyumba Kubwa. Unajitafutia zako hotel unajificha huko siku 2 au tatu kutuliza kichwa huku unanyonya zako mvinyo na Samaki choma😋🤗

Maisha yenyewe ndiyo haya haya Mkuu 🤸🤸
Siku mbilitatu zote hizo kwa hoteli unatuliza kichwa pekeako mkuu??
Hapo lazima uwe na ka dogodogo kengine pembeni sio bia tu!
 
Siku mbilitatu zote hizo kwa hoteli unatuliza kichwa pekeako mkuu??
Hapo lazima uwe na ka dogodogo kengine pembeni sio bia tu!
Hahahaha....................hizo dogodogo zinaweza kutuua kitandani, manake vinakuwaga vina moto hatari. Sisi Umri umeenda bora kushinda unalala tu peke yako 🤗
 
Hahahaha....................hizo dogodogo zinaweza kutuua kitandani, manake vinakuwaga vina moto hatari. Sisi Umri umeenda bora kushinda unalala tu peke yako 🤗
Muda mwingine ni Vizuri kutulia unajiepusha na mengi dunia ina mengi huwezi kuwamaliza utakojoa saivi haitakua Mwisho ukimuona mwingine utamtaka tena na tena!
 
Nina ndevu mvi na kipara kama solar panel lakini huo mkwasa napiga kama kawa
Upo vizuri Mkuu, Mimi nakula kwa macho saivi maana ukiendekeza unaweza kufa kwa Presha familia ikapata aibu 🥱
 
Muda mwingine ni Vizuri kutulia unajiepusha na mengi dunia ina mengi huwezi kuwamaliza utakojoa saivi haitakua Mwisho ukimuona mwingine utamtaka tena na tena!
Tangu tumekuwa hadi Sasa Warembo wanazidi kuzaliwa, tena Vijana wanasema ni visu hasa 🙈, kwahiyo bora kupunguza baadhi ya mambo.
 
Mkuu wewe bado upo vizuri sio?🤸🤸🤸
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mie pia Umri umeenda mkuu hizo seleka seleka nawaachia nyie ma legend!! Wewe unaonekana upo vizuri sana mkuu unatudanganya eti mzee hapa muongo!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mie pia Umri umeenda mkuu hizo seleka seleka nawaachia nyie ma legend!! Wewe unaonekana upo vizuri sana mkuu unatudanganya eti mzee hapa muongo!
Hahaha...............Mimi Umri umeenda Mkuu, hapa ni mwendo wa missionary tu tena one shot baada ya mwezi Mmoja 🙈🏃🏃🏃

Ila wewe seems uko age hiyo ya kuhimili mbilinge za kuvunjana uti wa mgongo 🤸🤸
 
Hahaha...............Mimi Umri umeenda Mkuu, hapa ni mwendo wa missionary tu tena one shot baada ya mwezi Mmoja 🙈🏃🏃🏃
Missionary my foot!! acha zako hizo! Tena unaonekana unajiamini kweli ni mashuti heavy nonestop! Utakua vizuri wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom