Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Natoa pendekezo...
Kwa jinsi makamanda wanavyomhusudu huyu bwana.
Napendekeza 2025 ndo awe mgombea wa urais kupitia CHADEMA.
Naamini akigombea kwa platform ya kumshitaki Rais Magufuli huko The Hague, atajizolea kura nyingi sana.
Makamanda mnasemaje? Twende na Amsterdam 2025?
Kwa jinsi makamanda wanavyomhusudu huyu bwana.
Napendekeza 2025 ndo awe mgombea wa urais kupitia CHADEMA.
Naamini akigombea kwa platform ya kumshitaki Rais Magufuli huko The Hague, atajizolea kura nyingi sana.
Makamanda mnasemaje? Twende na Amsterdam 2025?