Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,411
- 79,660
Ni risasi 16Yeyote yule mtetea HAKI za wanyonge ni adui wa CCM. kosa la Amsterdam ni kukubali kwake kumtetea kisheria Tundu Antipas Lissu aliyepigwa risasi zaidi ya 30 ili aweze kupata HAKI zake kama mtanzania.
CCM walitaka Lissu arejee nchini bila usaidizi wowote ule wa kisheria duniani, nafikiri wote mnajua ni kipi ambacho kingekuwa kimeshampata so far.