Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,899
- 19,859
Kama kwa "hasara," unamaanisha kukosa sera za maji-taka, vurugu, ukuwadi, kuwagawa Watanzania vipandevipande kama twiti za Amsterdam, na kupinga kila kitu, basi jibu ni NDIYO YENYE HARUFU & HERUFI KUBWA.Hata kama Chadema hawatafanikiwa Kwa lolote...