Ampa first born jina la Ex wake!!

Ampa first born jina la Ex wake!!

I wouldn't go that far,calling them imperfect but some issues they need just common sense,how would my wife feel if she founds out that our first daughter is named after one of my exes?The same question should also applly to a lady who wants to her son after her ex.I hope you understand the implication of that action.You still hang up on your ex and given an opportunity you would go straight into his/her arm.If you were the partner how would you have felt if you finds out?

::
Of course It is painful.
Marriage is a institution that hides much of unsensed dangerous secrets
=
 
kwa stahili hii mie nahama jukwaa bora nirudi intellijensia na akina Kiranga.
kila siku mambo hovyo hovyo ooh shit!

lakini kosa hapo ni la mume kwann nasema ni la mume?
alikuwa wapi hadi mtoto achaguliwe jina na mama?? na kama walijadili why didn't he question about it??

nimezaa midume mitupu na katika hao nimewapa majina mimi ila huzzy kila jina alikuwa naniuliza kwann tuite hivi??
mmoja nilimwamia kabisaa huyu Mungu kamchagua awe wetu so nikamwita kwa jina hilo mwingine nikasema huu ni ushind hasa nikizingatia tulikopita akasema kweli mwingine nikasema hapa mungu katuzawadia na akawa hivyo nk so mume na mke wanatakiwa wajadili juu ya jina la mtoto na litolewapo lazima liwe ambalo halina ukakasi maskion mwenu.

sasa unakuja kulialia mwanaume mzima ili nini Tetra mwambie huyo kaka achukue BC ya huyo mtoto aende mahakaman akaape kumbadilisha jina tena with 4 yrs litasahaulika kabisa kabisa manake kama hana amani nalo analia inaweza ikamjengea chuki kwa mtoto.

mimi saa hizi ungenikuta niko RITA natafuta cheti kingine cha kuzaliwa hata kama ni kwa kuhonga chenye jina jingine na la ubatizo nafuta kila kitu b4 hajaanza shule.

asante sana Tetra ila hli jukwaa toka juzi usiku lina niliza tu leo kuna mwingine mie niko bize hapa na ma kemia nashangaa Nivea ananiita kwenda eti anamuona mchumba wake mshamba kwasasa, wakati mchumba kamsomesha akiwa yatima na ndiye anayemtunza hadi leo sasa kapata sharbaro anaona ndio wanaendana anataka kumpiga chini mshamba. uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii sijui nimelia sana hakya Mungu mie nina watoto 4 muulize cacico na snowhite nikiyaona haya naskia uchungu mpaka natamani kuhama dunia hii nikaish nyingine.

Dada,nilipoona haya madudu sikutaka hata kukuita nikijua na hapa lazima utakuja tu!
Btw,sijui kama haya unayowafundisha wanakuelewa.. maana inaonekana kama wanaongeza bidii ya kutenda kinyume chake kila kunapokucha! Sasa sijui na hapa tuwalaumu NECTA!?
 
nashkuru sasa angalau umenitamkia kuwa utaoa mdogo wangu!
ahsante!
tunaweza kuanzia hapo juu ya ile battle yetu kuwa,nampata wapi wa aina hii?
pamoja na haya yooote yoote bado good girls wapo!na hakika utampata!

Hahaha..dada snowhite umenikamata vizuri! Ila nimeisema hiyo ili niblend na thread.
So far so bad...I've met kama watatu hivi n they v ol been disappointing!!! (Cc: Mtambuzi)

Haa Mentor! Women are powerful,,ukipigwa busu,ukageuzwa ubavu,ukakapapaswa utosini utajikuta unasema "GO AHEAD honey I trust you"
ha ha ha
Tetra, si unajua jinsi ambavyo kabla ya kuoana mnaekeana ground rules!??

Kwangu hiyo ni ground rule..haiwi discussed after ndoa au sijui ile siku ana mimba au ndo amejifungua...HAPANA!

I STATE that right from the beginning of our relationship!

I MEAN THAT BY THE WAY..sijasema tu ili kuchangia mada.:eyeroll1:
 
Last edited by a moderator:
Hahaha..dada snowhite umenikamata vizuri! Ila nimeisema hiyo ili niblend na thread.
So far so bad...I've met kama watatu hivi n they v ol been disappointing!!! (Cc: Mtambuzi)


Tetra, si unajua jinsi ambavyo kabla ya kuoana mnaekeana ground rules!??

Kwangu hiyo ni ground rule..haiwi discussed after ndoa au sijui ile siku ana mimba au ndo amejifungua...HAPANA!

I STATE that right from the beginning of our relationship!

I MEAN THAT BY THE WAY..sijasema tu ili kuchangia mada.:eyeroll1:

::
Haaa navyowajua wanawake!! All the best with ur principles.
=
 
Last edited by a moderator:
kumwita jina la ex wako ni sawa na mtoto wako anakupiga kitu....ipo siku atadate naye time will tell
 
Nadhani wapo wengi wanaofanya hivyo, yupo dada yangu mtoto wa Mamangu mdogo kamuita mtoto wake jina la X wake na sidhani kama shemeji analijua hilo. Binafsi niliwahi kuwaza hivyo baada kuachwa na niliyedhani yeye ndo kila kitu kwangu, ila kwa sasa hivi naona ulikuwa ni ujinga siwezi fanya hivyo.
 
Mimi hata nikisikia mtu anaitwa jina hilo namchukia.......baadae nikipata fahamu ndio nagundua kumbe sio yule.......watu wana roho...,

tehee.....tehe......do! punguza hasira mdada!
mara nyingi nawaambia wanawake mambo yenu mengi yapo rohoni sasa kumbuka roho ikibeba inabeba kweli na ikisamehe inasemehe moja kwa moja! sasa titizo liko wapi hapa?
ikumbukwe kuwa wakati mwingine mapenzi ya utoto lazima yaishe kwa kuwa mbele kunaweza kuwa hakuna future sasa inategemea na mtazamo nani kawahi hivyo vinyongo sio vizuri ndugu zangu
japo kuna watu hapa wapenzi wao walio waudhi wakiamua wawape watoto majina wanaweza kujaza behewa la mwanza
 
Yaani its a big NO. Mtu ni Ex for a reason. Na nahisi ex should stand for expired. Its a shame, halafu arithi na tabia mbaya za wajina...
 
Mimi nina principle moja:

- Sitamruhusu mke wangu kuchagua jina la mtoto wangu wa kiume (labda TU liwe la baba yake).:nono:

mmmmmmmmmmmmmmmmmmh ndoa zina mengi ngoja ninyamaze!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
::
Anaonekana mwenye furaha sana unapotaja jina la mtoto wake.
Lakini kuna wakati anatoa chozi,,anainama,,na anafikiri sana na uso wake unapoteza uangavu wake wa asili.
::
Anasema hakutegemea kuolewa na mume aliyenae sasa.Ila alikosana sana na ex wake baada ya yeye kutendwa na kuumizwa sana
::
Kwa kuwa alisalitiwa na aliyempenda hakuwa na jinsi na ikafikia hatua ya kutengana na ex huyo.Lakini njia ya kumuenzi na kumsamehe X aliyempenda alimshawishi mumewe ampe jina hilo,,ambalo mumewe hakujua chanzo chake.
Na anasisitiza anafurahi sana akisikia linatajwa.
Mtoto wake huyu wa kiume ana miaka 4 kwa sasa.
::
Jamani wana JF njia nyingine rahisi hiyo ya kuwaenzi na kuwasamehe "TULIOWAPENDA" ila hayakuwa majaliwa kuwa nao ni kuwapa watoto wetu majina ya ex wetu
=
haya ni matatizo ya kufanya compromise kwa watu wengine pale tunapotendwa na wapenzi wetu wa awali.......that means her current husband is a compromise of her previous lover.....i am not judging her bt seriously that sounds stupid and absurd.......
 
::
Anaonekana mwenye furaha sana unapotaja jina la mtoto wake.
Lakini kuna wakati anatoa chozi,,anainama,,na anafikiri sana na uso wake unapoteza uangavu wake wa asili.
::
Anasema hakutegemea kuolewa na mume aliyenae sasa.Ila alikosana sana na ex wake baada ya yeye kutendwa na kuumizwa sana
::
Kwa kuwa alisalitiwa na aliyempenda hakuwa na jinsi na ikafikia hatua ya kutengana na ex huyo.Lakini njia ya kumuenzi na kumsamehe X aliyempenda alimshawishi mumewe ampe jina hilo,,ambalo mumewe hakujua chanzo chake.
Na anasisitiza anafurahi sana akisikia linatajwa.
Mtoto wake huyu wa kiume ana miaka 4 kwa sasa.
::
Jamani wana JF njia nyingine rahisi hiyo ya kuwaenzi na kuwasamehe "TULIOWAPENDA" ila hayakuwa majaliwa kuwa nao ni kuwapa watoto wetu majina ya ex wetu
=
mbona wengi tu wanawapa watoto zao majina ya ex zao? ni kawaida mno.
 
mmmmmmmmmmmmmmmmmmh ndoa zina mengi ngoja ninyamaze!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nini Asnam, ground rules lazima ziwepo usije mpa mwanangu jina la liboyfriend lako la zamani ulilolifuma likipumuliwa kisogoni bana!
 
Last edited by a moderator:
Nini Asnam, ground rules lazima ziwepo usije mpa mwanangu jina la liboyfriend lako la zamani ulilolifuma likipumuliwa kisogoni bana!

hahahahaha huyo dada ni mwendawazimu tu mi hata huwa simuwazi ex hata siku moja,ikitoka imetoka kweli haijalishi mi ndo nimetoa au nimepigwa kibuti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom