Ampa first born jina la Ex wake!!

Ampa first born jina la Ex wake!!

Inaleta picha mbaya lakini kwa mimi X wangu Mwanawe ana jina kama langu lakini hatukuachana kwa ubaya ila haikua rizk mie kuolewa na yeye,na kwa upande wake anasema jina langu analipenda sio eti sababu nnaitwa jina hilo ila roho yake imelipenda hilo jina...na mkewe anajua lakini sioni kama ni tatizo kwake amelichukulia kama jina la kawaida..

promiseme
Kumbe mkiachana kwa wema si vibaya kutoa jina la X?
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaaahaaaaaaahaaaaa jf banah ina raha yake,i hope mama atakuwa ameipata hiyo.
Mamangu mzazi najua unanipenda na mimi nakupenda sana pia lkn kulingana na mabinti wa siku hizi walivyo utanisamehe maana nitachelewa kukuletea mjukuu mapema tofauti na matarajio yako sitaki kufanywa kama jamaa huyu.
 
namuona anchungulia, lakini yule "anayekuabudu" sasa humtaki tena? Naogopa kuja kuamulia kesi!
yule haniabudu bwana wewe tu ulifananisha sura vibaya mimi pale napiga magoti kabisa hahahah wacha tu mjini hapa
 
kwa stahili hii mie nahama jukwaa bora nirudi intellijensia na akina Kiranga.
kila siku mambo hovyo hovyo ooh shit!

lakini kosa hapo ni la mume kwann nasema ni la mume?
alikuwa wapi hadi mtoto achaguliwe jina na mama?? na kama walijadili why didn't he question about it??

nimezaa midume mitupu na katika hao nimewapa majina mimi ila huzzy kila jina alikuwa naniuliza kwann tuite hivi??
mmoja nilimwamia kabisaa huyu Mungu kamchagua awe wetu so nikamwita kwa jina hilo mwingine nikasema huu ni ushind hasa nikizingatia tulikopita akasema kweli mwingine nikasema hapa mungu katuzawadia na akawa hivyo nk so mume na mke wanatakiwa wajadili juu ya jina la mtoto na litolewapo lazima liwe ambalo halina ukakasi maskion mwenu.

sasa unakuja kulialia mwanaume mzima ili nini Tetra mwambie huyo kaka achukue BC ya huyo mtoto aende mahakaman akaape kumbadilisha jina tena with 4 yrs litasahaulika kabisa kabisa manake kama hana amani nalo analia inaweza ikamjengea chuki kwa mtoto.

mimi saa hizi ungenikuta niko RITA natafuta cheti kingine cha kuzaliwa hata kama ni kwa kuhonga chenye jina jingine na la ubatizo nafuta kila kitu b4 hajaanza shule.
 
Last edited by a moderator:
yule haniabudu bwana wewe tu ulifananisha sura vibaya mimi pale napiga magoti kabisa hahahah wacha tu mjini hapa

Kweli mji umekuharibu. Yule unampigia magoti, halafu kumbe moyo wako uko kwa KakaKiiza, mhhh ngoja nisiongeze neno!
 
Last edited by a moderator:
Some women do stuffs that can't be explained at all,Exes are supposed to be just that exes.Why bring them in your life?:nono:
 
kwa stahili hii mie nahama jukwaa bora nirudi intellijensia na akina Kiranga.
kila siku mambo hovyo hovyo ooh shit!

lakini kosa hapo ni la mume kwann nasema ni la mume?
alikuwa wapi hadi mtoto achaguliwe jina na mama?? na kama walijadili why didn't he question about it??

nimezaa midume mitupu na katika hao nimewapa majina mimi ila huzzy kila jina alikuwa naniuliza kwann tuite hivi??
mmoja nilimwamia kabisaa huyu Mungu kamchagua awe wetu so nikamwita kwa jina hilo mwingine nikasema huu ni ushind hasa nikizingatia tulikopita akasema kweli mwingine nikasema hapa mungu katuzawadia na akawa hivyo nk so mume na mke wanatakiwa wajadili juu ya jina la mtoto na litolewapo lazima liwe ambalo halina ukakasi maskion mwenu.

sasa unakuja kulialia mwanaume mzima ili nini Tetra mwambie huyo kaka achukue BC ya huyo mtoto aende mahakaman akaape kumbadilisha jina tena with 4 yrs litasahaulika kabisa kabisa manake kama hana amani nalo analia inaweza ikamjengea chuki kwa mtoto.

mimi saa hizi ungenikuta niko RITA natafuta cheti kingine cha kuzaliwa hata kama ni kwa kuhonga chenye jina jingine na la ubatizo nafuta kila kitu b4 hajaanza shule.

Nakuunga mkono na tupo ukurasa mmoja. Viumbe wengine kichwani ni sifuri kabisa.
 
kwa stahili hii mie nahama jukwaa bora nirudi intellijensia na akina Kiranga.
kila siku mambo hovyo hovyo ooh shit!

lakini kosa hapo ni la mume kwann nasema ni la mume?
alikuwa wapi hadi mtoto achaguliwe jina na mama?? na kama walijadili why didn't he question about it??

nimezaa midume mitupu na katika hao nimewapa majina mimi ila huzzy kila jina alikuwa naniuliza kwann tuite hivi??
mmoja nilimwamia kabisaa huyu Mungu kamchagua awe wetu so nikamwita kwa jina hilo mwingine nikasema huu ni ushind hasa nikizingatia tulikopita akasema kweli mwingine nikasema hapa mungu katuzawadia na akawa hivyo nk so mume na mke wanatakiwa wajadili juu ya jina la mtoto na litolewapo lazima liwe ambalo halina ukakasi maskion mwenu.

sasa unakuja kulialia mwanaume mzima ili nini Tetra mwambie huyo kaka achukue BC ya huyo mtoto aende mahakaman akaape kumbadilisha jina tena with 4 yrs litasahaulika kabisa kabisa manake kama hana amani nalo analia inaweza ikamjengea chuki kwa mtoto.

mimi saa hizi ungenikuta niko RITA natafuta cheti kingine cha kuzaliwa hata kama ni kwa kuhonga chenye jina jingine na la ubatizo nafuta kila kitu b4 hajaanza shule.

Nitajitahidi kutumia uwezo wangu wa kushawishi maana jamaa hajui hata sasa ili abadili jina.
gfsonwin
Usihame jukwaa Hekima kama hizi tutazitafuta kwa tochi.I beg you
Relax.Enjoy,,tabasamu ur the winner
 
Last edited by a moderator:
inaleta picha mbaya lakini kwa mimi x wangu mwanawe ana jina kama langu lakini hatukuachana kwa ubaya ila haikua rizk mie kuolewa na yeye,na kwa upande wake anasema jina langu analipenda sio eti sababu nnaitwa jina hilo ila roho yake imelipenda hilo jina...na mkewe anajua lakini sioni kama ni tatizo kwake amelichukulia kama jina la kawaida..
hongera kwakuenziwa mama hngera sana ,mimi mtoto wangu atapata jina la mtakatifu yoyote lililoandikwa kwenye kkitabu kitakatifu cha imani yangu haya yakuokota kwa ma-x sory sory

asante sana 2tetra kwakunifumbua macho nilikuwa sijui kuna mambo haya under my dead body nahisi nilikuwa naishi sayari ya mars ama kweli dunia tambara bovuu
 
Mimi nina principle moja:

- Sitamruhusu mke wangu kuchagua jina la mtoto wangu wa kiume (labda TU liwe la baba yake).:nono:
 
Some women do stuffs that can't be explained at all,Exes are supposed to be just that exes.Why bring them in your life?:nono:

Women are better in life but imperfect match in marriage is that which exaggerates problems
 
I wouldn't go that far,calling them imperfect but some issues they need just common sense,how would my wife feel if she founds out that our first daughter is named after one of my exes?The same question should also applly to a lady who wants to her son after her ex.I hope you understand the implication of that action.You still hang up on your ex and given an opportunity you would go straight into his/her arm.If you were the partner how would you have felt if you finds out?
Women are better in life but imperfect match in marriage is that which exaggerates problems
 
Blue G
haa! Bora usioe au kuolewa tena? Watoto utapataje?
Kumbuka mtioa jina ni Baba au mnashauriana
Mm ninashauri hata akiolewa tena ampe jina na huyo wa pili kama hakumaliza wote
 
Nitajitahidi kutumia uwezo wangu wa kushawishi maana jamaa hajui hata sasa ili abadili jina.
gfsonwin
Usihame jukwaa Hekima kama hizi tutazitafuta kwa tochi.I beg you
Relax.Enjoy,,tabasamu ur the winner

asante sana Tetra ila hli jukwaa toka juzi usiku lina niliza tu leo kuna mwingine mie niko bize hapa na ma kemia nashangaa Nivea ananiita kwenda eti anamuona mchumba wake mshamba kwasasa, wakati mchumba kamsomesha akiwa yatima na ndiye anayemtunza hadi leo sasa kapata sharbaro anaona ndio wanaendana anataka kumpiga chini mshamba. uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii sijui nimelia sana hakya Mungu mie nina watoto 4 muulize cacico na snowhite nikiyaona haya naskia uchungu mpaka natamani kuhama dunia hii nikaish nyingine.
 
Last edited by a moderator:
asante sana Tetra ila hli jukwaa toka juzi usiku lina niliza tu leo kuna mwingine mie niko bize hapa na ma kemia nashangaa Nivea ananiita kwenda eti anamuona mchumba wake mshamba kwasasa, wakati mchumba kamsomesha akiwa yatima na ndiye anayemtunza hadi leo sasa kapata sharbaro anaona ndio wanaendana anataka kumpiga chini mshamba. uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii sijui nimelia sana hakya Mungu mie nina watoto 4 muulize cacico na snowhite nikiyaona haya naskia uchungu mpaka natamani kuhama dunia hii nikaish nyingine.

Bado naamini WE ARE EQUAL BUT NOT THE SAME
gfsonwin
Hata mimi nimekereka na jinsi yule dada anachokusudia kufanya but Tuwashauri tu maana ndilo tunaloweza otherwise hatuna ties with them
 
Last edited by a moderator:
wanawake ni viumbe hatari sana wakati mwingine;kuna dada mmja alikuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtumishi mmja (mchungaji) sasa basi ilipokaribia kufunga ndoa yao alimlazimisha mume wake yule kufa na kupona lazima mchungaji awe msimamizi wa ndoa yao na kweli yule mchungaji ilibidi aite mchungaji mwingine aje kufungisha ile ndoa yeye akawa msimamizi.i can recall sijui huyu dada alimaanisha nini mpaka leo nikimwona huwa na:frusty: sipati jibu nndio aalimuenzi au la!!

Women are complicated creatures....men are simple creatures
 
promiseme
Kumbe mkiachana kwa wema si vibaya kutoa jina la X?
Kila mtu na uwamuzi wake na mapendekezo yake,na vile vile majinamwengine hufanana...anaweza kuamuita jina la bibi yake au la mtu wake wa karibi na likawa sawa na lakwako sasa wengine watadhani umetajwa wewe kumbe wala sio wewe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom