Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,526
- 771
- Thread starter
- #21
wanawake ni viumbe hatari sana wakati mwingine;kuna dada mmja alikuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtumishi mmja (mchungaji) sasa basi ilipokaribia kufunga ndoa yao alimlazimisha mume wake yule kufa na kupona lazima mchungaji awe msimamizi wa ndoa yao na kweli yule mchungaji ilibidi aite mchungaji mwingine aje kufungisha ile ndoa yeye akawa msimamizi.i can recall sijui huyu dada alimaanisha nini mpaka leo nikimwona huwa na:frusty: sipati jibu nndio aalimuenzi au la!!
::
Anaonekana mwenye furaha sana unapotaja jina la mtoto wake.
Lakini kuna wakati anatoa chozi,,anainama,,na anafikiri sana na uso wake unapoteza uangavu wake wa asili.
::
Anasema hakutegemea kuolewa na mume aliyenae sasa.Ila alikosana sana na ex wake baada ya yeye kutendwa na kuumizwa sana
::
Kwa kuwa alisalitiwa na aliyempenda hakuwa na jinsi na ikafikia hatua ya kutengana na ex huyo.Lakini njia ya kumuenzi na kumsamehe X aliyempenda alimshawishi mumewe ampe jina hilo,,ambalo mumewe hakujua chanzo chake.
Na anasisitiza anafurahi sana akisikia linatajwa.
Mtoto wake huyu wa kiume ana miaka 4 kwa sasa.
::
Jamani wana JF njia nyingine rahisi hiyo ya kuwaenzi na kuwasamehe "TULIOWAPENDA" ila hayakuwa majaliwa kuwa nao ni kuwapa watoto wetu majina ya ex wetu
=
bora wangeishia kutuudhi wanatuliza ujue!
kuna mwingine leo kaamka nalo asubuhi!eti oh nimesomeshwa toka form one mpka chuo,lakini simpendi!
nimepata sharo huyu wa miaka yote nahisi ni freemason anaweza kunitoa kafara,aftene hajasoma!
nipage tu hiyo trip!
nafkir we neeed one!
Mimi nina principle moja:
- Sitamruhusu mke wangu kuchagua jina la mtoto wangu wa kiume (labda TU liwe la baba yake).:nono:
Hivi sijielewi ndo kaniacha??
usinikumbushe kaka yangu alafu eti akataka akajilipue kwa amu na nina wasiwasi huyu ndio yule Aliyemyang'anya lecture tonge lake mdomoni by specification za amu ni KakaKiiza mtupu baada tu ya bday ya Paloma mambo yaliniharibikia nikajiweka pembeni kuepusha msongamanoheeee, kakakiiza alikuachia maumivu kumbe?!
Mimi nina principle moja:
- Sitamruhusu mke wangu kuchagua jina la mtoto wangu wa kiume (labda TU liwe la baba yake).:nono:
HAHAHAHAH UNAMUONA ANAVYOCHUNGULIA HAPO JUU NIJIBU!!!!!!😛eep:😛eep:Sasa utaka kumuenzi mtu katili hivi wa nini? au bado unampenda?!
siwezi kufanya huo upumbavu ht kidogo.......yeye amekuwa nani hadi nimuenzi kwa kumpa mtoto jina lake.
km majina yameisha ni heri nimpe ht jina langu ni heri ionekane kuwa mama na mtoto tuwe na majina ya kufanana lkn si kumuenzi eti sijui ndo mpenz wa zamani sijui ndo kidumu.......aaaaaaaaaaaaaah, nachukia sana mm.
HAHAHAHAH UNAMUONA ANAVYOCHUNGULIA HAPO JUU NIJIBU!!!!!!😛eep:😛eep: