Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,526
- 771
::
Anaonekana mwenye furaha sana unapotaja jina la mtoto wake.
Lakini kuna wakati anatoa chozi,,anainama,,na anafikiri sana na uso wake unapoteza uangavu wake wa asili.
::
Anasema hakutegemea kuolewa na mume aliyenae sasa.Ila alikosana sana na ex wake baada ya yeye kutendwa na kuumizwa sana
::
Kwa kuwa alisalitiwa na aliyempenda hakuwa na jinsi na ikafikia hatua ya kutengana na ex huyo.Lakini njia ya kumuenzi na kumsamehe X aliyempenda alimshawishi mumewe ampe jina hilo,,ambalo mumewe hakujua chanzo chake.
Na anasisitiza anafurahi sana akisikia linatajwa.
Mtoto wake huyu wa kiume ana miaka 4 kwa sasa.
::
Jamani wana JF njia nyingine rahisi hiyo ya kuwaenzi na kuwasamehe "TULIOWAPENDA" ila hayakuwa majaliwa kuwa nao ni kuwapa watoto wetu majina ya ex wetu
=
Anaonekana mwenye furaha sana unapotaja jina la mtoto wake.
Lakini kuna wakati anatoa chozi,,anainama,,na anafikiri sana na uso wake unapoteza uangavu wake wa asili.
::
Anasema hakutegemea kuolewa na mume aliyenae sasa.Ila alikosana sana na ex wake baada ya yeye kutendwa na kuumizwa sana
::
Kwa kuwa alisalitiwa na aliyempenda hakuwa na jinsi na ikafikia hatua ya kutengana na ex huyo.Lakini njia ya kumuenzi na kumsamehe X aliyempenda alimshawishi mumewe ampe jina hilo,,ambalo mumewe hakujua chanzo chake.
Na anasisitiza anafurahi sana akisikia linatajwa.
Mtoto wake huyu wa kiume ana miaka 4 kwa sasa.
::
Jamani wana JF njia nyingine rahisi hiyo ya kuwaenzi na kuwasamehe "TULIOWAPENDA" ila hayakuwa majaliwa kuwa nao ni kuwapa watoto wetu majina ya ex wetu
=