Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,594
- 9,338
Nadhani Rais anachotaka ni kuwatafutia solution wamachinga sio kuwadump maeneo ambayo hayana wateja maana ni kuwamaliza kibiashara.Yani wengi watavunjika moyo kushughulikia tatizo la machinga.
Imeshakuwa na nongwa!
Sijui hatima ya Dar itakuwaje?!
Wamachinga watafutiwe solution endelevu sio kuwapiga kama mbwa tu, Wana family na wamenunua zile bidhaa wanazoziuza meaning wameweka capital yao tuwaangalie kama wafanyabiashara wadogo dawa sio kuwafukuza tu Bali no kuwatafutia maeneo mbadala yenye mazingira mazuri ya kibiashara pamoja na huduma muhimu kama vyoo, vyakula nk.
Tunaweza kuamua kuwaweka maeneo kama jangwani ambapo wanakuwa wanaweka biashara zao sio permanently hii ndio maana halisi ya kuwatafutia maeneo. Tuna maeneo mengi ya wazi tunaweza kuwaweka huko.