Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Mkuu wa mkoa mpya wa Dares Salaam bwana Amos Makala mara alipoapishwa tu alitoka mbiombio kwenda kufanya kazi na kero ya kwanza aliyoiona kwenye jiji la Dar es Salaam ni wamachinga kufanya biashara katikati ya jiji!
Licha ya kwamba Makalla alishangiliwa sana na Chadema kwa uamuzi wake huo wa kufukuza machinga, lakini sisi tunaona mbali tulimuonya kuwa wamachinga ni jeshi kubwa hutaliweza.
Leo bwana Makalla amepata salamu kutoka Morogoro baada ya mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kufukuzwa kazi kwa kosa la kutuma mgambo kwenda kupiga machinga.
Tukupe ushauri tu bwana Makala kuwa Chadema wanakushindilia uwafukuze machinga wakiwa na malengo yao.
1. Ili wamkomoe mwendazake kwa sababu alijipambanua kama machinga namba moja wa Tanzania.
2. Ili machinga wakikosa kazi basi chadema wataanza kuwanywesha viroba na kuwaandamanisha mitaani.
Makala kama unataka kudumu na u RC wa Dar basi pambana na wauza madawa ya kulevya, wezi wa mafuta bandarini na mafisadi wote ila achana kabisa usiguse wamachinga.
Haiwezekani uajili mgambo uwalipe kwa kodi za wanachi alafu kazi yao iwe kupiga watu wanaojipatia kipato chao halali kabisa bila kuibia mtu yoyote.
Samia = Magufuli.
Mtaelewa tu.
.
Licha ya kwamba Makalla alishangiliwa sana na Chadema kwa uamuzi wake huo wa kufukuza machinga, lakini sisi tunaona mbali tulimuonya kuwa wamachinga ni jeshi kubwa hutaliweza.
Leo bwana Makalla amepata salamu kutoka Morogoro baada ya mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kufukuzwa kazi kwa kosa la kutuma mgambo kwenda kupiga machinga.
Tukupe ushauri tu bwana Makala kuwa Chadema wanakushindilia uwafukuze machinga wakiwa na malengo yao.
1. Ili wamkomoe mwendazake kwa sababu alijipambanua kama machinga namba moja wa Tanzania.
2. Ili machinga wakikosa kazi basi chadema wataanza kuwanywesha viroba na kuwaandamanisha mitaani.
Makala kama unataka kudumu na u RC wa Dar basi pambana na wauza madawa ya kulevya, wezi wa mafuta bandarini na mafisadi wote ila achana kabisa usiguse wamachinga.
Haiwezekani uajili mgambo uwalipe kwa kodi za wanachi alafu kazi yao iwe kupiga watu wanaojipatia kipato chao halali kabisa bila kuibia mtu yoyote.
Samia = Magufuli.
Mtaelewa tu.
.