PostGE2025 Amos Makalla: Hatutotaka tena vurugu za Oktoba 29, zitokee Tena Arusha

PostGE2025 Amos Makalla: Hatutotaka tena vurugu za Oktoba 29, zitokee Tena Arusha

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
"Hatutotaka tena vurugu hizo za tarehe 29, zitokee Tena katika mkoa wetu wa Arusha. Tumejipanga, tutahakikisha tunawalinnda watanzania, tunawalinda wananchi, tunawalinda watalii"

Amos Makalla, mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza mbele ya waziri mkuu Mwigulu Nchemba leo Novemba 30, 2025
 
Kwani kuna vurugu au maandamano? Hawa viongozi wetu sijui wamechangnikiwa au vp, hata hivyo waadamanaji ndiyo hao hao watanzania na wannchi wa Arusha, au anamaanisha watawalinda wasipigwe risasi na mapolisi?
 
Ukiangaria vita ya urusi na Ukraine ,Rais wa Ukraine huwa anaenda site , so nashauri nyie wakuu wa milaya , mkoa Cdf , IGp , nk yatokeapo maandamano muwe mbele ya vijana wenu ,sio mnatoa maagizo huku mmehama location , yani maandamano ya wananchi mnatoa mkiwa mmejifungia ,alafu hao watu wenu wa chini ati ndo wako mbele ,muwe mnatoka , wewe Askari kama kiongozi wako hatoki bali ni kutoa maelekezo akiwa chimbo ,changanya na zenu , likitokea la kutokea wanalala mbele ila wewe na familia yako utabaki banana humu.
 
Huyu alipotea kabisa toka oct 29. Naamini baada ya leo hutomuona tena hadharani.
 
"Hatutotaka tena vurugu hizo za tarehe 29, zitokee Tena katika mkoa wetu wa Arusha. Tumejipanga, tutahakikisha tunawalinnda watanzania, tunawalinda wananchi, tunawalinda watalii"

Amos Makalla, mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza mbele ya waziri mkuu Mwigulu Nchemba leo Novemba 30, 2025
View attachment 3509611
Hii Tabia ndio imetufikisha hapa
 
"Hatutotaka tena vurugu hizo za tarehe 29, zitokee Tena katika mkoa wetu wa Arusha. Tumejipanga, tutahakikisha tunawalinnda watanzania, tunawalinda wananchi, tunawalinda watalii"
Mtawalinda au mtawaua? Nyoosha maelezo vizuri nyinyi mwisho wenu wa kufikiri sio kusikiliza sauti za raia ndani ya Nchi yao na kuyatendea kazi yale raia wanayoyataka bali ni kuua tu...
 
"Hatutotaka tena vurugu hizo za tarehe 29, zitokee Tena katika mkoa wetu wa Arusha. Tumejipanga, tutahakikisha tunawalinnda watanzania, tunawalinda wananchi, tunawalinda watalii"

Amos Makalla, mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza mbele ya waziri mkuu Mwigulu Nchemba leo Novemba 30, 2025
View attachment 3509611
Lifala flan hivi na mashavu yake ya mviringo
 
Back
Top Bottom