Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,628
Fidel80 taarifa hujaukamilisha. Ni kwamba kijana alijifanya kumwonyesha upendo mkubwa babu yake akamkatia mshiko mapema akijua fika kuwa baada ya hapo kituo chake cha kwanza ni kilabuni. Kumbe ana lake jambo. Usiku akiwa amelala huku amelewa chakari na bibi kalala pembeni, mjukuu akaingia chumbani na kuanza kumlawiti babu yake. Bibi hakuwa na la kifanya bali kupiga kelele tu. Kijana aliingia akiwa na silaha kwani alipomaliza kumlawiti babu yake alimkata sehemu za siri na sikio. Na hivi sasa babu kaishakufa hayupo tena.
Whaaat¿??????
Last edited by a moderator: