Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
Kuna watu wana usingizi jamani.
yaani mimi mtu akigusa tu nguo niliyolala nayo nashtuka.
yaani mimi mtu akigusa tu nguo niliyolala nayo nashtuka.
Kuna watu wana usingizi jamani.
yaani mimi mtu akigusa tu nguo niliyolala nayo nashtuka.
hakufai tena tubadili tu route aisee
Hivi lakini ukiangalia......ni nini hii sasa Dr.......
Kijana mmoja huko Tanga alimvizia babu yake akiwa amelala na kumlawiti babu kushtuka akakuta mjuu wake anampumulia kisogoni lahaula na kuanza kupiga mayowe.
Taarifa za kitabibu zinasema babu kaumizwa sana sehemu za kutolea taka ngumu na kapata maumivu makali yaliyo ambatana na mshtuko pamoja na mfadhaiko kijana huyo sasa hivi anashikiliwa kituo kimoja cha polisi huko jijini Tanga.
Beats me as well!Danh yaani bado hajauwawa na wenye hasira???!!!
Why is he still alive???!!!!
shame on you!!Kama Babu aliumia, Nampa pole.
Lakini pia ni vizuri aulizwe kama haku-enjoy, maana hawa wagosi, hawaeleweki!
Danh yaani bado hajauwawa na wenye hasira???!!!
Why is he still alive???!!!!
Ukifuatilia kuna mkono wa mganga wa kienyeji.