kuna my friend alikuwa na Girl friend wake.siku moja dem akamsaliti msela na jamaa mwingine ..jamaa akapeleleza akagundu na wakati huo dem alikua na mimba na akawa ameambia wote kuwa mtoto ni wao .jamaa wakakutana kila mmoja anasema ameambiwa kuwa mtoto ni wake na mpaka leo dem hajasema .na wote hawa jamaa ni maji ya kunde na dem mweupe na mtoto ni mweupe then jamaa anashindwa afanye maamuzi gani? kwenda kupima DNA dem hataki anasema asiyeamini amuachie mtoto wake.... wadau tuwasaidiajE?