Hata mm naweza kuungana nawe, huyu jamaa kafanya usalama wa Taifa. Pia kitendo cha CDM kumteua TINDU LISSU kuwa mwanasheria mkuu wa cdm na kuwa acha safari na Marando nika hisi kuna jambo nyuma. Afu kuna yule MM, M1 ;mmoja hakujulikana, huenda akawa yy ila cdhan ki urahisi hivyo!! Uchunguzi wa kina unahitajika.
Lakini,naomba niseme hakuna ubishi,watanzania ni regerege,why!
Tunalalamika Tembo wanaisha,harafu mtu anasema kuna orodha ya poacher 320 harafu hakuna hata kuhoji,
Ukoo unapiga kampain mtu arudi ikuru,watu kimya,ahadi hadi za boat Dodoma,watu kimya,mtukufu kashikwa na madawa china na ndege kumduata huko usiku,watu kimya,Twiga Wako airport,watu kimya,Loliondo ni Uarabuni ndani ya Tanzania watu kimya,Barabara chini ya viwango,watu kimya,wagaratia nyie,ni nani kawaroga?
To simple to be believed!
Mkuu hebu jaribu kulianzisha hata ujipige petrol mbele ya jengo la bunge kama yule watanzania labda mshipa wa u lege lege utakatika nakulianzisha hadi kielewekeLakini,naomba niseme hakuna ubishi,watanzania ni regerege,why!
Tunalalamika Tembo wanaisha,harafu mtu anasema kuna orodha ya poacher 320 harafu hakuna hata kuhoji,
Ukoo unapiga kampain mtu arudi ikuru,watu kimya,ahadi hadi za boat Dodoma,watu kimya,mtukufu kashikwa na madawa china na ndege kumduata huko usiku,watu kimya,Twiga Wako airport,watu kimya,Loliondo ni Uarabuni ndani ya Tanzania watu kimya,Barabara chini ya viwango,watu kimya,wagaratia nyie,ni nani kawaroga?