mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Je huyu mama ni mtu mmoja?Watu wa Mambo ya Nje tuambieni!
Hico cheo chake ni kwa Merit au Chakula cha wakubwa?
Hico cheo chake ni kwa Merit au Chakula cha wakubwa?
Je huyu mama ni mtu mmoja?Watu wa Mambo ya Nje tuambieni!
Hico cheo chake ni kwa Merit au Chakula cha wakubwa?
Radhia au Amina ni watu wawili tofauti. Cheo chake Radhia ni merit,kwa sababu dada yake,Asha Rose,ndiye aliyekuwa mkuu wa Wizara ya Nje.
Mkuu,Balozi Radhia Naima Msuya alikuwepo MOFA muda mrefu kabla Dada yake Dr Migiro kuwa Waziri katika Wizara hiyo.
Je huyu mama ni mtu mmoja?Watu wa Mambo ya Nje tuambieni!
Hico cheo chake ni kwa Merit au Chakula cha wakubwa?
Je huyu mama ni mtu mmoja?Watu wa Mambo ya Nje tuambieni!
Hico cheo chake ni kwa Merit au Chakula cha wakubwa?
Asante sana ndugu yangu...tena kwa kuongezea ni kuwa wakati Asha-Rose akila chaki na kumenyeka na research UDMS, mdogo wake Radhia ( Mrs Msuya) yuko MOFA kama career diplomat.Kupanda kwake ni kwa merit..na huenda alistahili kuwa hata balozi kamili akiiwakilisha nchi...
PIA anajiweza sana.... uwezo wake kawaulize wale walioona uchacharikaji wake Permanent Mission to UN NY hasa kwenye 3rd Committee.
VR
Dada Radhia ni mchapakazi sana na yuko well knowlegeable and informed binafsi nimeishakutana naye kwenye mikutano na hafla mbali mbali. Yuko vizuri upstairs hata anavyochanganua mambo nilimpenda. Ifike wakati tuheshimu vipawa vya wengine, tuache tabia za kuzushia watu hata yasiyo yahusu. Anafaa hata kuwa waziri wa mambo ya nje.
Go on dada Radhia
VR
Dada Radhia ni mchapakazi sana na yuko well knowlegeable and informed binafsi nimeishakutana naye kwenye mikutano na hafla mbali mbali. Yuko vizuri upstairs hata anavyochanganua mambo nilimpenda. Ifike wakati tuheshimu vipawa vya wengine, tuache tabia za kuzushia watu hata yasiyo yahusu. Anafaa hata kuwa waziri wa mambo ya nje.
Go on dada Radhia
Mkuu,Balozi Radhia Naima Msuya alikuwepo MOFA muda mrefu kabla Dada yake Dr Migiro kuwa Waziri katika Wizara hiyo.
Mtafute bangusilo wa kibaha umuulize.Je huyu mama ni mtu mmoja?Watu wa Mambo ya Nje tuambieni!
Hico cheo chake ni kwa Merit au Chakula cha wakubwa?
majungu ni middle name ya. Zaidi ya nusu ya watanzaniaMasa..mimi namtetea na nitamtetea sana tu maana najua utendaji wake..wengine wanasikia majungu mitaani.. hata hawamjui wanakuja hapa kumchafua dada wa watu.
Watanzania kwa mwendo huu basi tukae mkao wa kuambulia kunawa tu na kula hatutakula.Badala ya kujishughulisha na yako..kutwa kuchokonoa ya wengine..huo muda ungewezesha kufanya jambo moja au mawili yenye tija.
Huyu Amina Mtengeti ambaye amefariki juzi- ni yupi??? mbona inachanganya