Ameshakula hela yake nyingi, afanyeje aachane naye?

Ameshakula hela yake nyingi, afanyeje aachane naye?

use.nge mwingine bwn. kama ni mimi ningeena Tanganyika army tu majibu atayapata baadae. ndio maana saa nyingine huwa tunachepuka tu..aaaaagy
 
Huyo rafikiyo sidhan kama anajielewa ..
Huwez kukutana na mtu baki kwa ajili ya lifti ndo uweke imani ya kuelezea matatizo ya nyumbani .. kuna mambo hayaniingii akilini
1. Ni kipi kilipelekea aanze kumweleza huyo baba asikushilikishe wewe rafiki yake? Alikuwa anahitaji huruma ipi kwa huyo mwanaume (mchepuko)
2. Hakuona umuhimu wa kuhitaji ushauri kifamilia au kwa watu walio karibu yao (wasimamiz wa ndoa)
3. Ametumia nguvu zipi kundhalilisha mmewe kwa mwanaume mwenzake?
 
kosa ni la huyo mzee hapo ni kumkimbia tu cku nyingine ndo atajifunza maana ya nipe nikupe! we unagaramika tu alafu huweki mazingira kuapewa mzigo wakat unajua huyo ni mke wa mtu!!!
 
Kwani hizo hela aliziomba?

Si akate mawasiliano tu?

Mbona hakuna gumu hapo?
 
Hivi kama humtaki MTU kwanini ule vyake????? Kwanini usimwambie mwanzo kabisa anapoanza hatua kwamba humtaki????? Kwanini umpotezee muda na kumpa matumaini badala ya kumuacha akajaribu kwingine???????

Soma mada alikua naye kipindi cha mfarakano na husband maybe alitaka faraja nae but akutaka awe wake wa kudumu au baada ya ndoa kuimarika anaona arudi kwa njia kuu.
 
Watu wengi wametawaliwa na mfumo dume.mtoa mada ajataja muda waliogombana na mume.kama walitengana au la lakini wengi wamechukulia kma dada malaya etc.
pili suala la kupanda lift na kueleza shida sidhani kama lilifanyika siku moja maybe walibadilishana namba na kujenga mazoea lift ni kma njia ya kukutana.

Ushauri wangu kama dada toka mwanzo alimwambia ameolewa ila yuko katika faraka na mume sidhani kama kuna ugumu wa kumwambia ndoa sasa imetulia.

Mwisho kama kuna vitu vikubwa alivyompatia kama mke wake au maandalizi ya kuwa nyumba ndogo basi arudishe but vitu vyakawaida vilivyotolewa kama zawadi kurudi mwiko.

Then naona kuna watu awana xperience na migogoro ya ndoa ambayo inadumu kwa muda mrefu mpaka kila mtu anajua ndoa imevunjika baadae wanarudiana.mara nyingi wahusika uchepuka kipindi hicho chote ili maish yaendelee.
 
Uyo dada anahamu ya kugawa uroda ndoa imetengemaa si amwambie mdingi ndo imetengemaa achape mwendo.
Najua shida itaanza mbona ulikuwa unakula ela zangu nawe mjibu kuwa nilijua ndoa yangu itavunjika afterall fedha yenyewe ya UMMA amefisadi uko ndo kaja kukudondoshea wewe.
ALAFU LIFTI IZI JAMANI IVI UNAANZAJE PEWA LIFTI NA MTU HUMFAHAMU MTAJA BAKWA IVI IVI AU POTELEA MABWEEEE.

Hahaaaa, mwenyewe huwa napanda sana lift zenu..ila kuna iyo siku maeneo ya upanga likaja gari ndriii likasomama karbu yangu akafungua kioo muindi wa wa2, panda nikusogeze kimyaa jamani mtembo twende nikusogeze nikamsogelea kanipa mkono wa salamkimekomaa alafu kimevaa kikamba chekunduuu nikaogopa kuuona mkono nikamwambia asante nimeshafika akanibembelezaa nikamwambia imani na wew sina naona umevaa mavitu kama mganga mim nitajuaje kama wew ni binadamu? ..ndukii nikasepaa
 
Back
Top Bottom