Amesema ataniwekea sumu!!!

Amesema ataniwekea sumu!!!

valentina muongo kaogopa kuuziwa kesi.usije ukalishwa sumu nyumbani ukaenda kufia juu ya kifua chake......
 
valentina muongo kaogoa kuuziwa kesi.usije ukalishwa sumu nyumbani ukaenda kufia juu ya kifua chake......

msala huu kauleta yeye,halafu ananitosa,kweli? iiiiiiii aaaaaaaaa,basi tu ngoja nilie kimoyo moyo
 
sasa je maana unabembeleza nyumba ndogo.kuliko kumpoza mkeo.jiandae tuje tukate malighafi yetu.kisha ndo uende kwa valentina wako.sijui utatumia nini???
 
sasa je maana unabembeleza nyumba ndogo.kuliko kumpoza mkeo.jiandae tuje tukate malighafi yetu.kisha ndo uende kwa valentina wako.sijui utatumia nini???

majanga sasa!!!valentina njoo huku uimalize hii kesi,eti huyu nae anasapoti "kirikou" ikatwe!!!!
 
Mi siwez kumuua hata anisalitije nikishindwa kuvumilia tunaachana kwanin uwe mvumilivu kwenye hakuna na kama huwezi kumbadili tabia basi maana hujamzaa umuache afurahie maisha yake,unadhan utawapa sumu wangapii??????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom