Amesema ataniwekea sumu!!!

Amesema ataniwekea sumu!!!

hahahahh alikujia na technique ya kukuxomesha oxford USA nin..wakati yeye kasoma udsm..Maana huyo namjua alivyo muongo...

dah we nae mchonganishi,sema tu unataka mi ninyimwe!!yaani hata hunionea huruma mtoto wa mwanamke mwenzako
 
yaani hapa ndo nakuokoa na kaburi hivyooo..maana mkeo kashaaza kuwa na wasiwasi na nyendo zako...
 
kozo okamoto ata usijali vale anavyokusifiaga nakwambia ata kukunyima hawezi kesho tu utamwona huyooooo mpole....

we nawe unanipamba tu.sasa bichwa baya ndo sifa gani tena?yaan kumbe huwa ananisifia mi na bichwa baya...mmmmh ila cjui anamaanisha bichwa gani
 
minahisi anamaanisha kichwa cha juu maana kilekingine alikataa kisikatwe sababu kizuriiiiiiii.
 
mkuu nimeshindwa kuiaplod pm,nimeona sio vibaya nikaiaplod hapa

purely mnaendana!!

kama yeye yuko hivi halafu wewe kwenye avatar uko hivyo, basi droo mbili zimekutana!

akikuchum nahisi uso mzima unatapakaa..... ____!!
 
purely mnaendana!!

kama yeye yuko hivi halafu wewe kwenye avatar uko hivyo, basi droo mbili zimekutana!

akikuchum nahisi uso mzima unatapakaa..... ____!!


mwe!!!aisee usimseme vibaya waifu.mwenyewe hapo katokelezeaje
 
Mwambie anunue bastola,sumu atakutesa sana,mwanamke ninaye mjua ni mwoga sana kuua,mie wangu anavunjaga vitu tuu,hata kofi hajawahi nipiga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom