Amesema ataniwekea sumu!!!

Amesema ataniwekea sumu!!!

nunua sumu ambayo haitakutesa weka ndani ukicheat tu kunywa kabla ajakuwahi
 
dah.. au uyo mdada atafute dawa kama yayule mwezako ukitoka tu nje mzee ashindwe kufanya kazi.ukiludi nyumban hali shwali mpaka kunakucha.asije akajitafutia kesi ya mauaji bule..
 
Si bora uwekewe sumu..mana dini ya kiislamu mzinifu alie katika ndoa adhabu yake ni kupigwa mawe mpaka kufa..
 
Si bora uwekewe sumu..mana dini ya kiislamu mzinifu alie katika ndoa adhabu yake ni kupigwa mawe mpaka kufa..

aisee,hizo habari zako za uhamsho ndo sitaki kusikia kabisaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom