Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
- Thread starter
- #121
Umng'ate? utakuwa boya!!
mwanamke akifumaniwa bana dawa huwa ni ndogo sana!
dont react, adhabu yake ni ndogo sana.. and she will never do it again..
ila inauma
Umng'ate? utakuwa boya!!
mwanamke akifumaniwa bana dawa huwa ni ndogo sana!
dont react, adhabu yake ni ndogo sana.. and she will never do it again..
wadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu kwenye chakula ili nife.dah,kauli ile ikanistua sana ukizingatia nilishawahi kucheat mara moja miaka ya nyuma japokuwa hakuwahi kugundua na mpaka leo ananiamini sana!!!bandugu hivi na ninyi huwa mnakutana na kauli kama hizi au ni waifu anafikiria kunichenjia?
wadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu kwenye chakula ili nife.dah,kauli ile ikanistua sana ukizingatia nilishawahi kucheat mara moja miaka ya nyuma japokuwa hakuwahi kugundua na mpaka leo ananiamini sana!!!bandugu hivi na ninyi huwa mnakutana na kauli kama hizi au ni waifu anafikiria kunichenjia?
Hata Mimi nilipewa onyo kama hilohilo na Mimi nikamuuliza je namimi nikikufuma je, unajua alichonijibu
Eish......
Huyo mke wako ana miaka mingapi sasa?
Inaonekana ameshazeeka sana na mnaanza kutaniana uzeeni!
Kama bado ni binti binti hebu ntumie picha pm nimu-assess halaf ndo nikupe advice!
Its important, hurry!
mkuu nimeshindwa kuiaplod pm,nimeona sio vibaya nikaiaplod hapa
She is cut....congrats
mkeo mzuri....valentina kaonaje wivu alitamani umuweke yeye..mshauli akagombee umiss
mkeo mzuri....valentina kaonaje wivu alitamani umuweke yeye..mshauli akagombee umiss
valentina kanunaje....najua hata mpango kando ataninyima hata kwa wiki mbili.
vale na wewe una mambo leo ndo unaona bichwa baya wakati unataka kusababisha mauaji ya mwezako.vibaya hivyo.......
dah,mkuu unataka nikose huduma?
hahahahh alikujia na technique ya kukuxomesha oxford USA nin..wakati yeye kasoma udsm..Maana huyo namjua alivyo muongo...