Amesema ataniwekea sumu!!!

dah.. au uyo mdada atafute dawa kama yayule mwezako ukitoka tu nje mzee ashindwe kufanya kazi.ukiludi nyumban hali shwali mpaka kunakucha.asije akajitafutia kesi ya mauaji bule..

mwe!!! hata mechi za mchangani zishindikane?
 
uwe unatembea ma maziwa tayari tayari, au usikose maziwa kwenye friji
Hahahahahahahaha unamaanisha wakati wa chakula kila siku asikose maziwa mkuu na hasa akiwa amechiti ndio anywe kwa wingi.
 

Chunguza familia yao, isije ikawa wana asili hiyo!
 
Anakutisha mtu wa kuweka sumu hatishii..
 
kwikwikwiiiii,,,, uhuhuhuhu...! mwenzenu nimecheka mpaka machozi! du! sikujua kama mnaogopa!
 
nadahni mlikuwa mnaongea kiutani, lakini ikakuchoma!!!!!

basi na wewe mwambie mkeo kuwa siku ukigundua kuwa anakusaliti, utatumia cha moto kama wenzetu wa chuaga!

equation balanced! wa kwanza kufa ndio looser!
 
nadahni mlikuwa mnaongea kiutani, lakini ikakuchoma!!!!!

basi na wewe mwambie mkeo kuwa siku ukigundua kuwa anakusaliti, utatumia cha moto kama wenzetu wa chuaga!

equation balanced! wa kwanza kufa ndio looser!

cha moto sina ndugu yangu,labda nimng'ate meno
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…