Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
- Thread starter
- #21
Uwe mwangalifu hawa watu wamevurugwa sana miaka hii.
aisee kuna kitu inaklik mukichwa.
Uwe mwangalifu hawa watu wamevurugwa sana miaka hii.
uwe unatembea ma maziwa tayari tayari, au usikose maziwa kwenye friji
simcheat tena wangu ila siku hizi akinitengea msosi na muangalia usoni mara mbili mbili.coz ckutegemea kama anaweza kusema vile
Mmmh...tuzidishe usiri wa hili penzi letu kwa kificho cha hali ya juu......
But why Cheat-Cheat mchumba au waubani jamaniiiii.....Gf/Bf i can understand but after you commit yourself...why should you astray?
Usaliti unauma ndio maana mtu akichukua draastic measures me naona even Angels will understand.....
hapana akikuuwa hautajifunza..mi naomba akukate hicho kitu ulichotumia kumsaliti.ubaki hivyohivyo....
simcheat tena wangu ila siku hizi akinitengea msosi na muangalia usoni mara mbili mbili.coz ckutegemea kama anaweza kusema vile
uwe unatembea ma maziwa tayari tayari, au usikose maziwa kwenye friji
Na yeye aki-cheat wewe utamfanyaje?
Ngoja nimtafute huyo maiwaifu wako nichukue tenda ya kuhudumia msiba wako kuanzia jeneza, maturubai, viti hadi msosi...
Kufa kufaana atiii...tangazo hili pia liwafikie wachagga(shemeji zangu) wote wanaomiliki bastola
haa haa haa kakupiga mkwara tu, unafikiri wenye uwezo wa kuua wanasemaga basi, wao vitendo tu.simcheat tena wangu ila siku hizi akinitengea msosi na muangalia usoni mara mbili mbili.coz ckutegemea kama anaweza kusema vile
Na wewe ulimwambia kuwa ukimkamata amecheat utamfanya nini, wewe mpige adhabu ya kufa mtu maana kama ni simu si unakunywa tu maziwa lakini yeye mwambie jambo gumu kuliko sumu ili na yeye awe na hofu asikujaze mahofu wewe peke yako tuwadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu kwenye chakula ili nife.dah,kauli ile ikanistua sana ukizingatia nilishawahi kucheat mara moja miaka ya nyuma japokuwa hakuwahi kugundua na mpaka leo ananiamini sana!!!bandugu hivi na ninyi huwa mnakutana na kauli kama hizi au ni waifu anafikiria kunichenjia?
wadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu kwenye chakula ili nife.dah,kauli ile ikanistua sana ukizingatia nilishawahi kucheat mara moja miaka ya nyuma japokuwa hakuwahi kugundua na mpaka leo ananiamini sana!!!bandugu hivi na ninyi huwa mnakutana na kauli kama hizi au ni waifu anafikiria kunichenjia?