Habari za wakati huu?
Naomba msaada wa mawazo.
Nina ndugu aliyemaliza kidato cha sita, Combination CBG.
Kwa mujibu wa matokeo yaliyotoka hivi juzi, amepata division three (3).
Sasa naomba mwenye ujuzi anisaidie kama huyu kijana anaweza kupata chuo cha serikali,
na pia Course itakayomfaa huko chuoni.
aksante sana
Naomba msaada wa mawazo.
Nina ndugu aliyemaliza kidato cha sita, Combination CBG.
Kwa mujibu wa matokeo yaliyotoka hivi juzi, amepata division three (3).
Sasa naomba mwenye ujuzi anisaidie kama huyu kijana anaweza kupata chuo cha serikali,
na pia Course itakayomfaa huko chuoni.
aksante sana