Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
mkuu unakaba dahushafikisha 25 wewe? I dont mind about tribe now..
mkuu unakaba dahushafikisha 25 wewe? I dont mind about tribe now..
Pole weeh...unatia huruma..kiukweli hilo lilikua ni jaribu na hakuwa wako plz let it go..huezi jua mungu amekuandalia nini mbeleni..pole sana
Miss u even more REALITY
Si kauli nzuri sababu na wewe mchaga???
''Mwanamke ni property ya familia'' Are you confortable kuitwa hivyo au kuwa hivyo.... and what it does actually mean? and what is the intended meaning? na ni kweli iko hivyo?
Hio ni kauli inayokera na kuwasha masikio kumuita Mwanamke hivyo....
Hapo nimekuelewa sana,big up kwa kuugundua mtego wangu!!!!! Loh! Uko vizuri wangu. Kweli mwanamke hapaswi kuitwa hivyo.
Wana MMU habari.
Yamenikuta mie. Boyfrend wangu anatakiwa kuoa mchaga mwenzake na mie sio mchaga yaani ni shidaaa.
Mchumba kapatikana uchagani na process zote ananijulisha. Ingawa anaoa hataki tuachane.
Duh! Mazito ndugu zangu.
Nipeni ushauri au ata pole yatosha
feel lovely
have a flower
and i will meet you
after an hour
let me have shower
to regain my power
and be higher
sweet and not sour
Heaven Sent
Asee dada mm pia nina experience kubwa sana na ayo mambo, in short wanaume walio wengi wana iyo kitu yaani anakuwa na mchumba wke ambaye ndio mwenye mapenz naye kwa dhat na aliye na future naye ambaye pia hamchezei kingono lakini anatafuta msichana mwingne kwa ajili ya kuondoa matamanio yke tu ya kingono baasi
Kwahiyo dada hyo mwanaume wala alikuwa hakupendi wala nn, muda wake umefika wa kuoa ndo analeta kisingizio cha kuchaguliwa mchumba,muongo uyoo wala hajachaguliwa wala nn chaguo lake mwenyewe ilo
Pole sana! Safari moja huanzisha nyingine.... Twende zetu kama kweli unataja mume nifuate...!
mnafki huyo,anataka akufariji ukubali matokeo halafu aendelee kukutafuna,kashakuambia kata mawasiliano mazima,angejua umuhimu wako asingelazimishwa kuoa mchaga mwenzake,hicho kisingizio tu katafuta.Kama unajielewa achana naye tu.
Twende wapi sasa mimi na katasan'kaza?
huwa wanafuata kile ulichompa huyo chagaman sasa kwa nini unalialia kama unafikiri mwanamke na mwanaume wako sawa? jitunze dada usije kumbuka shuka jogoo anawika.
Kitu 26 sa hizi
usjal jf always is homehahahaaa haya bana. Asante kwa ushauri na joke pia.
hebu nionee huruma na ww
OMG, need I say more?? I feel honoured that u took the trouble to write this for me. I am incredibly grateful to u. Thanks loads REALITY