NAHISI KAMA WEWE NI MKUU WA DINI YEYOTE, FANYA HIMA UMBATIZE KABILA BASI
Wana mmu habari,
Yamenikuta mie. Boyfrend wangu anatakiwa kuoa mchaga mwenzake na mie sio mchaga yaani ni sheeeeda!!!
Mchumba kapatikana uchagani na proces zote ananijulisha. Ingawa anaoa hataki tuachane. Duh! Mazito ndugu zangu. Nipen ushauri au ata pole yatosha
Hakupendi,
Anataka aendelee kukumega kirahisi rahisi tu,
Piga chini jipange upya.
Unamlilia mtu ambaye hakupendi?
hehe huyo kamwaga kwa kutumia kisingizio ukabila,wengine dini,wengine distance
Ndio!
mwanamke akishafika 30 ujue ni majanga! ni bora muambiwe mapema kabla maji hayajamwagika!
Kama hana cha kufanya, basi ni bora afanye moja la kueleweka!
queenlishas hebu funguka dada wababa wa humu nao tuone kama tunaweza kujibeba! lol
Tatizo siyo kabila lako tatizo ni kuchanua miguu yako jamaa akamega mkate anaona huna jipya acha akaoe aliyejitunza.
kuachana na mtu ni kitu kidogo tu,utashangaa aliyeachwa naye anaamini sababu za ajabuUmeona eeh, dunia hii ya leo uchaguliwe mke? Thubutu!!
Umeona eeh, dunia hii ya leo uchaguliwe mke? Thubutu!!