Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
hebu nionee huruma na wwPole weeh...unatia huruma..kiukweli hilo lilikua ni jaribu na hakuwa wako plz let it go..huezi jua mungu amekuandalia nini mbeleni..pole sana
hebu nionee huruma na wwPole weeh...unatia huruma..kiukweli hilo lilikua ni jaribu na hakuwa wako plz let it go..huezi jua mungu amekuandalia nini mbeleni..pole sana
Asantr kwa ushauri. Ngoja niuondoe moyo wangu mapema
pole mdada hata mimi imenitokea sahv nimeamua nitulize akili tu mungu atatenda yake
Tatizo siyo kabila lako tatizo ni kuchanua miguu yako jamaa akamega mkate anaona huna jipya acha akaoe aliyejitunza.
Akili za kuambiwa changanya na zako unasubiri nn hapo au unataka akwambie uwe maid kwenye harus yake ndio ujue kakuacha??
Ondoka mama kaanze maisha mapya haikua riziki yako usjal mungu atakusaidia utapata na wewe wa kabila lako(joke).....
Ila usiweke kinyongo wala kuwaza kulipiza kisasi.....................
Everything happens for a reason. Inawezekana ndio njia Mungu aliyochagua kukupa mume bora. Mwache huyo anza upya.
njoo nikukumbatie kifuani bby upate farajaHahahaaa haya bana. Asante kwa ushauri na joke pia.
Mkuu Who Cares? nimeshindwa kujizuia kucheka japo hakuna cha kuchekesha apo... hahahaaa.. Si kauli nzuri aliotumia jamaa.
Karibu sana kwenye ulimwengu wa Dilemma.
Tafuta wako mapema kabla hujagonga 30's.
Acha kumtisha mwenzako. 30 sio mwisho wa maisha aisee.
PM nikusaidie kitu cha kufanya dada yangu
Kweli bana kwani watu wanaolewa ata miaka 43
Uwa mnaona wadada tu..eti nimechanua miguu..ye mbona kafungua zipu?
Unapokua na mpenz wa kiume au wakike unafata nini?
Acha kumtisha mwenzako. 30 sio mwisho wa maisha aisee.
Excel ile haikua riziki.sio kila urafiku unaishia ndoa so nasubilia wakwangu wa ndoa. Wababa wa humu woooote wako boooked
Duh itabidi mkuu mana ukabila nlijua haupo tena.
NIKIWA KAMA MUATHIRIKA WA MOJA KWA MOJA KAULI YAKO HII...
TAFADHALI NAOMBA UTUTAKE RADHI "WACHAGA WOTE" KUANZIA TULIOKUWA HAPA JF MPAKA WALE WALIOKO MOSHI WAKIANDAA KINYWAJI CHETU MAARUFU, WALIOKO PEMBA NA UNGUJA WAKIUZA BIA NA K,MOTO...WALIOKO NJE YA NCHI NA HASA USA SHIRIKA LA NASA WAKIRUSHA SATELITES NA WENGINEO WENGI WALIO-OLEWA NA KUOA WACHAGA....
SITANII..TAFADHALI NJOO UFUTE KAULI HII MAANA IMEJAA "MITUSI MIZITOMIZITO"...KWA TAFSIRI YA HARAKA NAWEZA KULIA.....NJOO BANA ...WAHI AISEEEE.....UJUWE UNACHELEWA....
ACHA UBAGUZI NA GENERALIZATION PRINCIPLE.....MKUBWA SASA WEWE YAKUPASA KUTAFAKARI KABLA HUJAANDIKA.
ni hayo tuu..atleast for now i do care.