Amepata mchumba mwingine

Amepata mchumba mwingine

point yako ni kama ya kweli vile

tatizo la wadogo zetu siku hizi wanajirahisi sana tena sana
ndo maana matatizo kama haya hutokea kwanini ni kutokana
na kujirahisi kupita kawaida wewe ukijitunza unafikiri niini ki
kitakudhuru , au UTAPUNGUKIWA NA NINI? yaani dunia imeshaharibu ndugu
hakuna tena uthamani wa mwanamke wengi wetu wanajirahisi kisa sijui nini?

au sijui ndo kwenda na fashion au sijui nini kinachotafutwa yaani kweli mambo
yameparagharanyika

Hakupendi,
Anataka aendelee kukumega kirahisi rahisi tu,
Piga chini jipange upya.
Unamlilia mtu ambaye hakupendi?
 
Wana mmu habari,
Yamenikuta mie. Boyfrend wangu anatakiwa kuoa mchaga mwenzake na mie sio mchaga yaani ni sheeeeda!!!

Mchumba kapatikana uchagani na proces zote ananijulisha. Ingawa anaoa hataki tuachane. Duh! Mazito ndugu zangu. Nipen ushauri au ata pole yatosha

Kuanzia sasa wewe ni mchagga. Mwambie asikuache.
 
Pole, lakini haitoshi. Huyo jamaa yako hana akili nzuri, keshakupotezea muda sasa anataka kukufanya kasmall hse! Aisee hada adabu kabisa.

Hebu komaza akili achana naye, wanaume tupo wengi; ni wewe utulie tu.

acha imani za kishirikina bna... eti kampotezea muda.? kivipi wakati kama ku gegeda walikua wanaenjoy wote.?

una roho ya ubinafsi sana wewe... lione kwanza...

sema wamepotezeana muda acha ubaguzi.
 
mnafki huyo,anataka akufariji ukubali matokeo halafu aendelee kukutafuna,kashakuambia kata mawasiliano mazima,angejua umuhimu wako asingelazimishwa kuoa mchaga mwenzake,hicho kisingizio tu katafuta.Kama unajielewa achana naye tu.

Asante viol.
 
Kongosho bana! Hahahaaaa nashangaa huyu dada anauliza makofi polisi,
Katafuta njia ya kidplomasia kukumwaga.

Kwa kifupi, kwake wewe ulikuwa wa kuuzia sura kitaa, ila si wa kuoa. Keshapata wife material wake, kwako anataka abaki na copyright za kuchemsha kiporo.

Stuka!
 
Yeye anaoa afu hataki muachane. Is he serious? Limeshatokea, kubali kuwa huyo si wako tena, utampata wa kwako ambaye Mungu amekuchagulia. U don't deserve to be mchepuko wa mtu. Pole sana


Nashukuru heaven sent. Kweli ningoje wakwangu nsije kufa kwa presure
 
Kwa wachaga mke ni "family property".....kwa vyovyote wewe usingekubalika kwao.....achana nae...fastaaaa

NIKIWA KAMA MUATHIRIKA WA MOJA KWA MOJA KAULI YAKO HII...

TAFADHALI NAOMBA UTUTAKE RADHI "WACHAGA WOTE" KUANZIA TULIOKUWA HAPA JF MPAKA WALE WALIOKO MOSHI WAKIANDAA KINYWAJI CHETU MAARUFU, WALIOKO PEMBA NA UNGUJA WAKIUZA BIA NA K,MOTO...WALIOKO NJE YA NCHI NA HASA USA SHIRIKA LA NASA WAKIRUSHA SATELITES NA WENGINEO WENGI WALIO-OLEWA NA KUOA WACHAGA....

SITANII..TAFADHALI NJOO UFUTE KAULI HII MAANA IMEJAA "MITUSI MIZITOMIZITO"...KWA TAFSIRI YA HARAKA NAWEZA KULIA.....NJOO BANA ...WAHI AISEEEE.....UJUWE UNACHELEWA....

ACHA UBAGUZI NA GENERALIZATION PRINCIPLE.....MKUBWA SASA WEWE YAKUPASA KUTAFAKARI KABLA HUJAANDIKA.

ni hayo tuu..atleast for now i do care.
 
usikubaliana na huo upuuzi eti ingawa anaoa hataki muachane ukute huyo mchaga mwenzie alianzana nae mapema hata kabla yako,tafuta ustaarabu wako hapo hapakufai tena,angekuwa kweli anakupenda angeshikilia msimamo wake wa kukuoa wewe,nimeshaona kesi nyingi kama hizo,mtu anabaki na msimamo wake hadi wazazi wananyoosha mikono juu
 
Pole weeh...unatia huruma..kiukweli hilo lilikua ni jaribu na hakuwa wako plz let it go..huezi jua mungu amekuandalia nini mbeleni..pole sana
 
We dada kaza moyo fanya maamuzi magumu huyo jamaa achana nae no matter moyo wako bado unamtaka ila onyesha ukomavu wako kimsimamo muache ufanye yako baada ya muda utasahau na utapata mchumba mwingine.
 
Ndio!

mwanamke akishafika 30 ujue ni majanga! ni bora muambiwe mapema kabla maji hayajamwagika!

Kama hana cha kufanya, basi ni bora afanye moja la kueleweka!
queenlishas hebu funguka dada wababa wa humu nao tuone kama tunaweza kujibeba! lol


Excel ile haikua riziki.sio kila urafiku unaishia ndoa so nasubilia wakwangu wa ndoa. Wababa wa humu woooote wako boooked
 
Last edited by a moderator:
Pole mwaya, Na wewe naye anao mchagga mwenzie au mmeachana tu kwa mambo ya kikabila.... Pole sana
pole mdada hata mimi imenitokea sahv nimeamua nitulize akili tu mungu atatenda yake
 
We dada kaza moyo fanya maamuzi magumu huyo jamaa achana nae no matter moyo wako bado unamtaka ila onyesha ukomavu wako kimsimamo muache ufanye yako baada ya muda utasahau na utapata mchumba mwingine.

Asantr kwa ushauri. Ngoja niuondoe moyo wangu mapema
 
Pole weeh...unatia huruma..kiukweli hilo lilikua ni jaribu na hakuwa wako plz let it go..huezi jua mungu amekuandalia nini mbeleni..pole sana

Thank you charty.kweli alikua stepin stone to my destiny
 
Mkuu Who Cares? nimeshindwa kujizuia kucheka japo hakuna cha kuchekesha apo... hahahaaa.. Si kauli nzuri aliotumia jamaa.
NIKIWA KAMA MUATHIRIKA WA MOJA KWA MOJA KAULI YAKO HII...

TAFADHALI NAOMBA UTUTAKE RADHI "WACHAGA WOTE" KUANZIA TULIOKUWA HAPA JF MPAKA WALE WALIOKO MOSHI WAKIANDAA KINYWAJI CHETU MAARUFU, WALIOKO PEMBA NA UNGUJA WAKIUZA BIA NA K,MOTO...WALIOKO NJE YA NCHI NA HASA USA SHIRIKA LA NASA WAKIRUSHA SATELITES NA WENGINEO WENGI WALIO-OLEWA NA KUOA WACHAGA....

SITANII..TAFADHALI NJOO UFUTE KAULI HII MAANA IMEJAA "MITUSI MIZITOMIZITO"...KWA TAFSIRI YA HARAKA NAWEZA KULIA.....NJOO BANA ...WAHI AISEEEE.....UJUWE UNACHELEWA....

ACHA UBAGUZI NA GENERALIZATION PRINCIPLE.....MKUBWA SASA WEWE YAKUPASA KUTAFAKARI KABLA HUJAANDIKA.

ni hayo tuu..atleast for now i do care.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom