mkuu naona umepiga ikulu hapa!kutolewa usichana ni kuvunjwa bikra sasa wewe ni umetolewa uvulana umevunjwa nini sasa?babu dc hebu njoo uone wanaume wa kisasa walivyoharibikiwa!
Mi siajsema kutolewa uvulana bali kuharibiwa uvulana,ni kauli mbili tofauti!
kutolewa usichana ni kuvunjwa bikra sasa wewe ni umetolewa uvulana umevunjwa nini sasa?babu dc hebu njoo uone wanaume wa kisasa walivyoharibikiwa!
....upeleke kwa fundi...siku hizi kuna mafundi wazuri wanauchomelea unakuwa mzuri kama ulivyokuwa kabla hajakuharibia...afu na wewe ukimuona mharibie wakwake na yeye.....alah!!Dah leo jamani yamenikuta!!
Kuna binti alinilaghai nikawa nae kimapenzi,kaniharibia uvulana wangu weee na baada ya kunitumia vya kutosha sasa kanimwaga wala hanijali tena..
Roho inaniuma sana...
All those years..dah afu mtu mzima nachezea za mbavu?
Kweli lazima tupambane dhidi ya mfumo jike!
we mbona kama nakujua wewe....!!?afadhari kumbe na sisi tunawaliza eeh
Kwan maana ya bikira ni nin?
bikira ina maana mbili
1.physical thing-hymen au utando au utepe uliopo ktk utupu wa kike!
2.haijaguswa-kitu chochote ambacho hakijaguswa au kuchakachuliwa-mafuta,utupu wa kike ambao haujaguswa na uume hata kama utepe ulitoka kwa baiskeli!hata nyumba kama umejenga bado mpyaaa haujahamia ruhusa kusema nyumba yangu ni bikira!
bikira ina maana mbili
1.physical thing-hymen au utando au utepe uliopo ktk utupu wa kike!
2.haijaguswa-kitu chochote ambacho hakijaguswa au kuchakachuliwa-mafuta,utupu wa kike ambao haujaguswa na uume hata kama utepe ulitoka kwa baiskeli!hata nyumba kama umejenga bado mpyaaa haujahamia ruhusa kusema nyumba yangu ni bikira!