The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 461
Dah leo jamani yamenikuta!!
Kuna binti alinilaghai nikawa nae kimapenzi,kaniharibia uvulana wangu weee na baada ya kunitumia vya kutosha sasa kanimwaga wala hanijali tena..
Roho inaniuma sana...
All those years..dah afu mtu mzima nachezea za mbavu?
Kweli lazima tupambane dhidi ya mfumo jike!
Kuna binti alinilaghai nikawa nae kimapenzi,kaniharibia uvulana wangu weee na baada ya kunitumia vya kutosha sasa kanimwaga wala hanijali tena..
Roho inaniuma sana...
All those years..dah afu mtu mzima nachezea za mbavu?
Kweli lazima tupambane dhidi ya mfumo jike!