Ameniharibia uvulana wangu

Ameniharibia uvulana wangu

The Dude

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
1,029
Reaction score
461
Dah leo jamani yamenikuta!!
Kuna binti alinilaghai nikawa nae kimapenzi,kaniharibia uvulana wangu weee na baada ya kunitumia vya kutosha sasa kanimwaga wala hanijali tena..
Roho inaniuma sana...

All those years..dah afu mtu mzima nachezea za mbavu?
Kweli lazima tupambane dhidi ya mfumo jike!
 
Yaani usingetaja binti ningekuelewa vinginee! Pole mwaya, msemelezee kwa mama yako.
 
wewe unaonekana unadeka sana ndio maana mtoto kakutosa.
 
kutolewa usichana ni kuvunjwa bikra sasa wewe ni umetolewa uvulana umevunjwa nini sasa?babu dc hebu njoo uone wanaume wa kisasa walivyoharibikiwa!
 
kutolewa usichana ni kuvunjwa bikra sasa wewe ni umetolewa uvulana umevunjwa nini sasa?babu dc hebu njoo uone wanaume wa kisasa walivyoharibikiwa!

Mi siajsema kutolewa uvulana bali kuharibiwa uvulana,ni kauli mbili tofauti!
 
Dah leo jamani yamenikuta!!
Kuna binti alinilaghai nikawa nae kimapenzi,kaniharibia uvulana wangu weee na baada ya kunitumia vya kutosha sasa kanimwaga wala hanijali tena..
Roho inaniuma sana...

All those years..dah afu mtu mzima nachezea za mbavu?
Kweli lazima tupambane dhidi ya mfumo jike!

Loh?
Angalau nimepumua, maana nilijua wameuharibu uvulana wa nyuma, I mean nilidhani wamefumua marinda.
Roho ingeniuma sana!
 
kwani amekutoboa sura? au kaondoka nayo?ndo ukome ck nyingine kuparamia mibuyu iso saiz yako
 
Yaani hawa wasichana waharibifu sana; dawa ni kuwatosa wote wanaokuzengea. U can do without them u know!
 
Ingawa si jukwaa muafak...nitakushauri...

Mtundu Kisu kwa sasa majuto ni mkuu... Hivyo kwa kuwa ushatendwa,tafuta wako pia umtende,umeelewa...?
 
Last edited by a moderator:
Heheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, kumbe mfumo jike upo?
 
Is it true without them we can? Mmmh! Ninamashaka na uwezo wetu waume!

yaani hawa wasichana waharibifu sana; dawa ni kuwatosa wote wanaokuzengea. u can do without them u know!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom