amemaanisha nini ?

amemaanisha nini ?

😳 nitafanya hivo kesho
Usifanye nae kitu chochote...hakufai huyo...mwambie unajua nini kilibidi kiendelee ila hukutaka kumfanya easy come easy go...

Lengo ni ndoa...kama hataki ndoa basi achana nae...mwambie nenda kagongwe easy easy huko huko...mimi nataka mke wa ndoa...na una msimamo wa kucontrol hisia..

ATAKUHESHIMU...
 
Sawa,lazima akwambie hivyo....
hahahaha hapana mkuu, nimekaa nae room mara moja tu, na hiyo siku ndipo nilimwambia nampenda akasema tuwe marafiki tu,nikapotezea stori za mapenzi,nikawa nampigisha stori zingine tu mpaka usiku sana nikaondoka
 
Ndo
hahahaha hapana mkuu, nimekaa nae room mara moja tu, na hiyo siku ndipo nilimwambia nampenda akasema tuwe marafiki tu,nikapotezea stori za mapenzi,nikawa nampigisha stori zingine tu mpaka usiku sana nikaondoka
Ndo sehem uliyokosea!unapiga nae story gan mtt wa kike huyo mpk night kal,n dada yako mkuu?
 
maana yake huwajibiki kama mwanaume, hutimizi majukumu yako kama mwanaume, hauna tabia za kiume tofauti na matarajio yake alivyotegemea ungekuwa
 
hahahaha hapana mkuu, nimekaa nae room mara moja tu, na hiyo siku ndipo nilimwambia nampenda akasema tuwe marafiki tu,nikapotezea stori za mapenzi,nikawa nampigisha stori zingine tu mpaka usiku sana nikaondoka
Hapo ndipo ulipokosea kutoka kwenye reli.
 
Back
Top Bottom