Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,918
- 8,715
hapo kasoro kutunzwa na umbea,mengine yote ni kweli hua nafanya,nitaacha
Ukifanya hvo atakuona mwanaume.
Thank me later
hapo kasoro kutunzwa na umbea,mengine yote ni kweli hua nafanya,nitaacha
hahaha amenitumia text ,Ungemlamba kofi mkuu.
Hadi mwanamke aseme hivyo kuna sababu nyingi mkuu inategemea matarajio yake kwako!
Mfano yeye anataka mwanaume jasiri,anayejiamini n.k
Au kwake yeye mwanaume ni anayetoa pesa za kutosha!
Au kwake yeye mwanaume mbabe ndo anamkubali.. Muulize
hahahaha hapana mkuu, nimekaa nae room mara moja tu, na hiyo siku ndipo nilimwambia nampenda akasema tuwe marafiki tu,nikapotezea stori za mapenzi,nikawa nampigisha stori zingine tu mpaka usiku sana nikaondoka
Usimuulize kirahisi hivyo..nimemuuliza saivi akasema hana cha kusema ,amelala kabisa
mkuu emu nisaidie, ni act vipi ? nakumbuka miaka kadhaa iliyopita niliambiwa nina mambo ya kitoto
sawa mkuuUkifanya hvo atakuona mwanaume.
Thank me later
sawa mkuuUsimuulize kirahisi hivyo..
Yan tafuta siku maalum, mwambie leo nataka tuzungumze ya ndani kabisa kwa mstakabar wa mahusiano yetu
hahahaha....sasa kama mmefikia hatua ya kuitana baby yeye alitegemea uact namna gani? Au alitaka uact kama mtoto wa mbwa?
duh , mkuu hakuna demu amewahi kuniambia nina mambo hayo wala washkajiAnamaanisha uko na umama!
If it was me, it would have been third world war!
Hahaha we dogo umenichekesha kwelihapo kasoro kutunzwa na umbea,mengine yote ni kweli hua nafanya,nitaacha
nimeambiwa "u ain't just acting like a man"
hii ina maanisha nini ? anataka niweje ?
Baada ya hii comment Mods wangetakiwa wafunge thread.Inshort mkuu hapo umekuwa kama yeye..
Hapo ndo ulizinguaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha hapana mkuu, nimekaa nae room mara moja tu, na hiyo siku ndipo nilimwambia nampenda akasema tuwe marafiki tu,nikapotezea stori za mapenzi,nikawa nampigisha stori zingine tu mpaka usiku sana nikaondoka
😂 ningetakiwa nije na id mpya,maana hii nilijijengea sifa ya faza flani hivi,back to the topic mahusiano huwa sijui nimeyakosea nini kila demu anataka anibadilishe kituHahaha we dogo umenichekesha kweli
"You ain't acting even like a boy"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Anamaanisha uko na umama!
If it was me, it would have been third world war!
Sasa utabadilika mara ngapi mkuu??? Huyo demu alihitaji mtombo wewe ukarembaaa...[emoji23] ningetakiwa nije na id mpya,maana hii nilijijengea sifa ya faza flani hivi,back to the topic mahusiano huwa sijui nimeyakosea nini kila demu anataka anibadilishe kitu
anakwepa hataki kusemaHumgegedi vya kutosha Mkuu 😜 just ask her Mkuu what did you mean with your statement? Ask her to be more specific on what you’re doing or not doing for her to use that statement against you.