Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Kama upendo wangu kwako malipo yake ndo hayo basi naomba nikuache uende... Nilikupenda ila tamaa zako zimenishinda mpenzi... Naomba angalia furaha ya nafsi yangu!!!Khaaaa!
Kama upendo wangu kwako malipo yake ndo hayo basi naomba nikuache uende... Nilikupenda ila tamaa zako zimenishinda mpenzi... Naomba angalia furaha ya nafsi yangu!!!Khaaaa!
Ndio
Kumbe ndo tabia yako.... Nimeumia mnoo
Nimempa nafasi nyingi sana my dear!!! Hajali hisia zangu kabisaaaduuuh hapo maneno halafu hata hakufika kwangu, sijui aliishia wapi ila mpe tena nafasi huenda akabadilika.
umri nao umeongezeka mwaka mmoja aweza kuwa somebody else better than yesterday (last year)
Sawa tuu
pole dear but naona akijali maana sio kwa hizo sorry na machozi mengi, mie hata sijawahi ona hiiNimempa nafasi nyingi sana my dear!!! Hajali hisia zangu kabisaaa
Hahah bonge la neno iliwewe bikira unayo? ushawahi kuwabikiri wangapi? kwa taarifa yako wanawake wachache sana wanaoolewa wa mjni wanaoolewa na wariowabikiri.
unaweza kuoa bikira ukafikiri wewe ndo mjanja wake akakutana na wataalamu wakamkarabati ukaonekana wewe sio kitu.
we lipa tu hiyo nne tabu iko wapi ukipata mechi tatu kwa wiki kwa miaka 20 hela yote isharudi!
utagoma kulipa milioni 4 lakini utamnunulia baba mkwe gari la m12 au utamsomesha shemeji yako kwa m7 we endelea kugoma
sio kwa mdomo huo jamani naangalia tu mie
Usijali my dear.... Kama alikufungia safari it's you he love!!! Hebu mpe nafasi kwanza ajiridhishe nafsipole dear but naona akijali maana sio kwa hizo sorry na machozi mengi, mie hata sijawahi ona hii
nafikir mimi nijitoe tu
Umeona lakini... Usiseme namsingiziasio kwa mdomo huo jamani naangalia tu mie
nimekosa cha kusema hapo, mwanzo nilihis unamsingizia but duuuuuh acha nijinyamazieUmeona lakini... Usiseme namsingizia
hahahahahahahha nimecheka kwa nguvu niko ofisini dearUsijali my dear.... Kama alikufungia safari it's you he love!!! Hebu mpe nafasi kwanza ajiridhishe nafsi
Halafu wanaofaidi mahali hizo unakuta siyo binti anaeenda kubeba jukumu la ndoa wala si mama na baba waliobeba jukumu la kuleaNdo maana znaa inazidi, kuzalia nyumbani kumeongezeka, mahar ghali znachangia kukwamisha ndoa
Unakuta MTU anajua wanaume kibao na huenda ana mtoto halafu wanataka mahali kuuubwa,sasa hiyo mahali ni shukrani ya nnKulipa mahali kumepitwa na wakati,..
Huu si muda wa kulipa mahali
Huwa najiuliza hii mahali ni ya nini..!
Haina maana kabisa...
pole ngoja nikupigie pande kwingine huyu anakuumiza
bora kakuacha na roho yako fweza yako nayo akuchukua yote kama kigari umlimnunulia ki love four j hakikukupa hasara sana